Sasa haowa wansayasi wenu wameleta manufaa ngani kwa ndini yenu!?? Au kuwataja tu hivyo kunatosha ,wezenu upande wa pili wa vyuo na wamezalisha ma .prof ,Dr na wasomi wengi tu but pia na nyie pia mnapata elimu kwenye hizo shule na vyuo vyao ,hivi mngekuwa na vyuo na shule km walizonazo wao c wangejuta ,mm nazani huko Madras mngekuwa mnawafundisha pia na elimu dunia ....Hii imenikubusha cku Dr sheni alipokuwa akifungua chuo kimoja Zanzibar alisema ....ni wakati sasa na watoto wa waislam nao kuchangamkia hii elimu dunia