Mi nimepigiwa simu mara mbili kutoka nssf ila wanadai namba yangu ya sim ni ya rashid..sasa wanamtafuta huyo rashid..sielew imekuaje wachanganye namba yang na rashid au ndio nilimfanyia mtihani huyo rashid...nssf mnanichosha
Nssf sidhani kama kuna udini,wanaoajiriwa pale ni either uhonge au uwe mtoto wa mkubwa fulani..field tu hupati kizembe ni mpaka uwe na mtu wa kukusaidia
haya mumemzomea diamond...tusubiri tumuone huyo alikiba kama ataweza kupenya kimataifa na kuwa nominated katika tuzo kama BET&MTV....watanzania huwa mnaroho ya uchoyo.,hampend mafanikio ya mtu...
dini ni imani ya mtu...kuhusu kua na PHd ni bwebwe tu hata hazimuongezei credit kwa Mwenyez Mungu...kwahy mi naamni ninachoamin,siwez fuata maneno ninayoona hayaendani na imani yangu...kamwe siwez unga mkono ushoga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.