Lenye mwanzo lazima lina mwisho wake
Na hakuna marefu yasiyo na ncha
Omba tu mwisho wake usiwe wa aibu mpaka ukataman kujiua!!!
Alafu mke wako ni mbaya kiasi hicho mpaka unafanya mapenzi na mke wa watu anayeolewa siku ya harusi, kwanza umemdharau sana mkeo,
Aisee mi nakwombea kabisa mwisho wako...
Haya nayasomaga kwa hadithi za gazet na kuyaona kwenye tamthilia tu!
Sijawah kufikilia kuyapata na wala sitarajii kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi kuchoka kwake kuabudiwa, Ingekuwa sawa na mamizigo ya dhambi yanayotokea saiz baada kuruhusu kuwepo kwa dhambi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninavyojua kwenye bible sikumbuki ni wapi kitabu gani, panasema , usimwogope mwanadamu anayeua mwili pekee Bali Mwogope Mungu anayeweza kuangamiza roho na mwili.
So kwa kadri ya maandiko Mungu anauwezo wa kuangamiza roho.
And haijarishi ni binadamu au shetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya wanaume kuwasema sana wanawake etii no wife material,
Hatimaye Leo kwa niaba ya wanawake wengine umewalipa kisasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.