Nguvu ya ziada inahitajika hapaKupeana ulimi tena asubuh hata hajaswaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu ya ziada inahitajika hapaKupeana ulimi tena asubuh hata hajaswaki
Kabisa mkuu na hiyo khali/ukakasi unaletwa na mtu kulala maana tayari kinywani/mdomoni kunakuwa na khali tofauti aiseee!!Basi sawa,
ila kwenye kubusiana na kunyonyana ndimi alfajiri huwa kuna kaukakasi kidogo!
Sent using Jamii Forums mobile app
kweche kweche kweche jamaniWanandoa marufuku kuamshana kama ugomvi Mara umevuta shuka, Mara umevuta mguu kama unamwamsha mwanafunzi wa shule ilo sio penzi ubabe
Basi sawa,
ila kwenye kubusiana na kunyonyana ndimi alfajiri huwa kuna kaukakasi kidogo!
Sent using Jamii Forums mobile app

Mke wako mchafuBasi sawa,
ila kwenye kubusiana na kunyonyana ndimi alfajiri huwa kuna kaukakasi kidogo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudanganya watu wazima hapa mkuu,,,Mke wako mchafu
Kinyaa kinatoka wapi kwa mke/mume? Binafsi sijawahi hisi uchafu mida hiyo..mate Kama kawaAcha kudanganya watu wazima hapa mkuu,,,
.
Hakuna mtu msafi akitokea usingizini!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda,,, make hatujui wew mwenzetu huwa unalalaje! Labda huwa unalala ukitafuna JoJo ,,, hahaaa(jokes)Kinyaa kinatoka wapi kwa mke/mume? Binafsi sijawahi hisi uchafu mida hiyo..mate Kama kawa
Ha haa hapana. Naweza hivyo kwa mume tu na si kwa mtu mwingine. Na yeye hana tatizo piaLabda,,, make hatujui wew mwenzetu huwa unalalaje! Labda huwa unalala ukitafuna JoJo ,,, hahaaa(jokes)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa,,, haya mkuu na hongera pia afu waonekana unazingatia usafiiHa haa hapana. Naweza hivyo kwa mume tu na si kwa mtu mwingine. Na yeye hana tatizo pia
Hapana kawaida tu, nadhani ni vile mkipendana na mkizoeana hufeel km mwenzio mchafu.Hahahaaa,,, haya mkuu na hongera pia afu waonekana unazingatia usafii
Sent using Jamii Forums mobile app
NtajaribuHapana kawaida tu, nadhani ni vile mkipendana na mkizoeana hufeel km mwenzio mchafu.
MKE mwamshe mmeo kimahaba kama amelala mgongo juu basi mpande mgongoni taratibu uku ukimpalaza mgongo na chuchu zako au kama amelala upande wa tumbo juu basi taratibu unamwekea chuchu zako mdomoni kwa maneno laini ukimtomasa mashavu kwa mikono na mabusu moto ya midomo
MKE mwamshe Mme kwa penzi mwambie bebi amka kama haki yako ya ndoa upate kisha ukaoge jamani utoe uchovu uje ule chakula tena kulishana au awahi kazini
Mme pia unaweza mwamsha MKE ata kumshikisha mwiko wako mkono wake wa kushoto au kumpa ulimi taratibu uku wamtazama usoni na mabusu moto au kumnyanyua kichwa MKE na kumweka kifuani kwako vile kupeana raha
Wanandoa mwenzio akionesha thamani nawe onyesha thamani kwake kwani penzi tamu likiwa la kujali hisia uku katika tendo kila mmoja anafurahi sio tendo uku mnafumba macho
Wanandoa marufuku kuamshana kama ugomvi Mara umevuta shuka, Mara umevuta mguu kama unamwamsha mwanafunzi wa shule ilo sio penzi ubabe
Vile kutomasana kimahaba kwa jicho la huba mbona raha tena muda wote mnakuwa wepesi ya halali nyumbani kunanoga
HAKIKA NAMUENZI KWENGINE HAENDI
Ha haaa Kama hujawahi weza sidhani km utaweza, na yy anaweza asiweze
Kwa kweli hata mie sitarajii kuyafanya kwa mtu nasomaga kwenye magazetiHaya nayasomaga kwa hadithi za gazet na kuyaona kwenye tamthilia tu!
Sijawah kufikilia kuyapata na wala sitarajii kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke gani atakufanyia ivyo kwenye hii sayari??MKE mwamshe mmeo kimahaba kama amelala mgongo juu basi mpande mgongoni taratibu uku ukimpalaza mgongo na chuchu zako au kama amelala upande wa tumbo juu basi taratibu unamwekea chuchu zako mdomoni kwa maneno laini ukimtomasa mashavu kwa mikono na mabusu moto ya midomo
MKE mwamshe Mme kwa penzi mwambie bebi amka kama haki yako ya ndoa upate kisha ukaoge jamani utoe uchovu uje ule chakula tena kulishana au awahi kazini
Mme pia unaweza mwamsha MKE ata kumshikisha mwiko wako mkono wake wa kushoto au kumpa ulimi taratibu uku wamtazama usoni na mabusu moto au kumnyanyua kichwa MKE na kumweka kifuani kwako vile kupeana raha
Wanandoa mwenzio akionesha thamani nawe onyesha thamani kwake kwani penzi tamu likiwa la kujali hisia uku katika tendo kila mmoja anafurahi sio tendo uku mnafumba macho
Wanandoa marufuku kuamshana kama ugomvi Mara umevuta shuka, Mara umevuta mguu kama unamwamsha mwanafunzi wa shule ilo sio penzi ubabe
Vile kutomasana kimahaba kwa jicho la huba mbona raha tena muda wote mnakuwa wepesi ya halali nyumbani kunanoga
HAKIKA NAMUENZI KWENGINE HAENDI
Mkuu inaonesha akaunti yako ilikuwa ina nguvu sanaWanawake wa hivi wapo aisee nilipata binti wa kichaga ilikuwa hatari sana
Aisee!Kwa kweli hata mie sitarajii kuyafanya kwa mtu nasomaga kwenye magazeti