Amsho la mpenzi

Amsho la mpenzi

Basi sawa,
ila kwenye kubusiana na kunyonyana ndimi alfajiri huwa kuna kaukakasi kidogo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu na hiyo khali/ukakasi unaletwa na mtu kulala maana tayari kinywani/mdomoni kunakuwa na khali tofauti aiseee!!

Kuamushana na kuanza kunyonyana ndimi while hujapiga mswaki siyo kabisa.

"Enough of No Love"
 
Haya nayasomaga kwa hadithi za gazet na kuyaona kwenye tamthilia tu!
Sijawah kufikilia kuyapata na wala sitarajii kabisa
MKE mwamshe mmeo kimahaba kama amelala mgongo juu basi mpande mgongoni taratibu uku ukimpalaza mgongo na chuchu zako au kama amelala upande wa tumbo juu basi taratibu unamwekea chuchu zako mdomoni kwa maneno laini ukimtomasa mashavu kwa mikono na mabusu moto ya midomo

MKE mwamshe Mme kwa penzi mwambie bebi amka kama haki yako ya ndoa upate kisha ukaoge jamani utoe uchovu uje ule chakula tena kulishana au awahi kazini

Mme pia unaweza mwamsha MKE ata kumshikisha mwiko wako mkono wake wa kushoto au kumpa ulimi taratibu uku wamtazama usoni na mabusu moto au kumnyanyua kichwa MKE na kumweka kifuani kwako vile kupeana raha

Wanandoa mwenzio akionesha thamani nawe onyesha thamani kwake kwani penzi tamu likiwa la kujali hisia uku katika tendo kila mmoja anafurahi sio tendo uku mnafumba macho

Wanandoa marufuku kuamshana kama ugomvi Mara umevuta shuka, Mara umevuta mguu kama unamwamsha mwanafunzi wa shule ilo sio penzi ubabe

Vile kutomasana kimahaba kwa jicho la huba mbona raha tena muda wote mnakuwa wepesi ya halali nyumbani kunanoga

HAKIKA NAMUENZI KWENGINE HAENDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKE mwamshe mmeo kimahaba kama amelala mgongo juu basi mpande mgongoni taratibu uku ukimpalaza mgongo na chuchu zako au kama amelala upande wa tumbo juu basi taratibu unamwekea chuchu zako mdomoni kwa maneno laini ukimtomasa mashavu kwa mikono na mabusu moto ya midomo

MKE mwamshe Mme kwa penzi mwambie bebi amka kama haki yako ya ndoa upate kisha ukaoge jamani utoe uchovu uje ule chakula tena kulishana au awahi kazini

Mme pia unaweza mwamsha MKE ata kumshikisha mwiko wako mkono wake wa kushoto au kumpa ulimi taratibu uku wamtazama usoni na mabusu moto au kumnyanyua kichwa MKE na kumweka kifuani kwako vile kupeana raha

Wanandoa mwenzio akionesha thamani nawe onyesha thamani kwake kwani penzi tamu likiwa la kujali hisia uku katika tendo kila mmoja anafurahi sio tendo uku mnafumba macho

Wanandoa marufuku kuamshana kama ugomvi Mara umevuta shuka, Mara umevuta mguu kama unamwamsha mwanafunzi wa shule ilo sio penzi ubabe

Vile kutomasana kimahaba kwa jicho la huba mbona raha tena muda wote mnakuwa wepesi ya halali nyumbani kunanoga

HAKIKA NAMUENZI KWENGINE HAENDI
Mwanamke gani atakufanyia ivyo kwenye hii sayari??

Ikikutokea ivyo fahamu ni account yako inawindwa braza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom