Recent content by kasopa

  1. kasopa

    Kubadi engine kwenye Nissan Navara kuweka engine ya Toyota Hilux

    Asee poa nampango wa kutoa engine ya Navara kuweka Toyota so Nimepata pa kuanzia
  2. kasopa

    Acacia waanza kulipa kodi, wanaidai TRA mabilioni ya fedha, mgodi kufungwa miaka sita ijayo

    Only in Africa pakaywatek, post: 17716709, member: 266468"]Ni kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya north mara imeanza kulipa kodi kwa serikali baada ya miaka 16 ya uchimbaji. Hata hivyo pamoja na Acacia kuanza kulipa kodi, inaidai mamlaka ya mapato (TRA) dola za kimarekani 120 milioni...
  3. kasopa

    Shamba linauzwa dakawa

    Kwa mwenye kuhitaji shamba maeneo ya dakawa ninazo heka15 nauza kwa mwenye nia ya kunua tuwasiliane mojakwamoja 0719508800 na heka moja ni 1m haipungui hakuna dalali hapa unadili na mimi mojakwa moja
  4. kasopa

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Asee hivi inakuwaje kwa sisi wakazi wa kigamboni kwani kuna jamaa wengi tu wamejenga bila kibali na ukizanagatia zoezi la serikali kusitisha muendelezo wowote katika aridhi za kigamboni na mjimwema je watawavunjia nyumba wananchi waliojenga kwenye mashamba yao
  5. kasopa

    Experience yangu ya kilimo cha vitunguu ni negative

    Hapo kina sehemu yamefanyika makosa labda ungetuambi wapi umekosea. Mana ukisema umevuna gunia 105 ttu kwa heka Sita haniingi akilini naamini kabisa kuwa Kuna kosa la usimamizi tu
  6. kasopa

    Je unataka kulima na upate faida?

    Uwiiii wasalama twafa mbona mbona hili gunia linaumiza sana debe 10 kwa laki wakati debe6 kwa 72 mhhh jamani mjiangalie mtumwenyewe huyu kila swali anajibu la kirahisi tu
  7. kasopa

    "Little older and still a liar"

    Asa we vale kwani uliwahi kuona katika maandiko matakatifu imeandikwa mwanaume asiwe na mwanamke mdogo kiumri au mwanamke asiwe na kijana kijana mdogo zidiyake kiumri hiyo ni uamuzi wa wawili QUOTE=Jawilat;9617244]Linanikwaza sana hili jambo.
  8. kasopa

    Je umeibiwa sumsung galax soma hapa

    Invinsibo upo safari kiongozi naona hawa watoto wa facebook wamesha hamia huku
  9. kasopa

    Uwazi na usiri katika mahusiano kipi chafaa...?!

    Kabla hamja jibu kitu hebu mrudi katika maandiko kwa kila mwenye imani haijalishi dhehebu hakuna maneno laana iliyo kemewa kama.kutoa siri ya ndani asa kama mungu amekemea na kuita ni laana asa kitugani mnacho taka kujadili na jambo lipo wazi na hii tabia ya kutoa siri za ndani waafrika tumeitoa...
  10. kasopa

    Vitu vitano vinavyosimamia biashara yako

    Mbona hakuna pakubonyeza bwana Elisha pale kwenye like tayari tumeisha bonyeza
  11. kasopa

    Mashine za kuangulia vifaranga kwa bei ya promosheni

    Kachemka huyo tatizo letu wabongo hatutaki kufata taratibu za ufundi tunataka tu kuuza bila kufanyia majaribio product tunazo zalisha ili kujua kiwango chake nashauri tufanye uchunguzi ili kuwa na product bora tengenezeni mashine hata mkazitoa kwa bei ya promotion kwa watu wenye mashamba ya kuku...
  12. kasopa

    wale wajasiriamali wa ukweli soma hapa..

    Mhh nijuavyo mimi vikoi huvaliwa na kina babu wakiwa wamepumzika baada ya shughuli za mchana kutwa sasa huku tena sijui vimefata nini? lakini mkama ni tangazo basi Mod wapeleke mahala pake
  13. kasopa

    Nchi inayoongoza kwa upelelezi africa

    1Southafrica 2Egypt 3United Republic of Tanzania Kama hamfaha habari ndohiyo najua mtadhihaki sana lakini habari ndo hii wawe division 4 au 0 hiyo ndivyo ilivyo
  14. kasopa

    Dhihaka za Rwanda, Kikwete Mpatanishi na Falsafa ya Ushauri - By Kigwangala

    Kipokola kumbe wewe ni msouth niltaka kukurupuka lakini baadae nikapata sehem umesema hata huku south tumebaki dom tu, bakia hukohuko kwa makaburu usituongelee pumba hapa kinachongelewa Tanzania lazima uzalendo utumike sio lele mama sisi wote humu tuna siasa tofauti lakini linapokuja swala la...
  15. kasopa

    Wanyarwanda walio mafichoni wameunda umoja wanataka Kagame akubali kukaa meza moja na FDLR!!!

    Wakuu naswali kwanini wanyarwwnda walete uzihuu kwenye fom ya tanzania inamaana rwanda hakuna fom? Amabayo wanaweza weka uziwao utakawajumuisha wanyaru na nndio wanaotakiwa kuunagana pamoja ili kufaniksha azamayao sioni kama sahihi huu uzi kuwepo JF tayari rais wa rwanda ana chuki na Rais wa...
Back
Top Bottom