ekari 15 mahindi unaweza kulima kwa sh ngapi?
Uwiiii wasalama twafa mbona mbona hili gunia linaumiza sana debe 10 kwa laki wakati debe6 kwa 72 mhhh jamani mjiangalie mtumwenyewe huyu kila swali anajibu la kirahisi tunazungumzia gunia la debe 10 mkuu, yaani kilo 200
mkuu hebu funguka zaidi, wewe ni mtu mmoja au ni kiongozi wa kundi fulani? Sipati picha upate kazi hai, nyingine, morogoro, nyingine lindi, hapo hatujazungumza ya bukoba kama sio kigoma, utajigawaje maeneo yote hayo. Inanipa mashaka kuamini unachokisema kama kweli unamaanisha, isiwe umejisahahu ukidhani leo ni april mosi?.
Hivi huyu jamaa bado yupo?????
Kiongoz rudi huku tunakusubiri..
Mwizi huyu
Unamsubiri aendelee kutoa darasa au una msubiri umpe kazi akufanyie?
Darasa kiongoz,.naona kunamaswali lukuki hayajajibiwa
Mbegu gani hiyo..!?Ekari moja mbona nasikia inatoa hata gunia hamsini kwa zao la mahindi.