Nadhani anamaanisha zaidi ule ushangiliaji ulioonekana. Infact wanawake walio wengi hasa viti maalum huwa wapiga makofi,wazomeaji na waitikiaji wa ndiyoo!
Usijali. Ni hali ya kawaida. Usiache kuchek CD-4. Ishi maisha safi. Epuka msongo. Epuka safari ndefu. Kula vyakula vyenye mafungu matano ya vyakula. Fanya mazoezi. HIV+ SI MWISHO WA MAISHA.
We mwenyewe umefanya kama huyo mke. Kitendo cha kumwanika Mh.Magh... pia ni kumwaibisha. Heri huyo mke alifanya kwa hasira. Wewe je,kilikusibu nini? Wewe ni mbaya zaidi ya huyo mke. Au ulikuwa na lako jambo?
Shida ya waTz. hudhani mapenzi tu ndo jambo linaendelea ktk jamii. Tamthilia nyingi zinahusu mapenzi. Wanapenda kuiga mambo ya nje. Hawajui waTz. wengi wanachukia uvaaji wa nguo fupi, za kubana nk. Pia wanatatizo la kuongeza chuku-over exagaration. Kweli wanaudhi! Michezo mizuri ni ile...
Mwambie tu. Ukishindwa, mpe mtu aongee naye simuni. Aanze kwa kumpa ushauri kwanza kidogo tu. Kisha amwambie awe chonjo na mpenzi wake. Mshauri apime na kuchukua hatua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.