Mdogo wangu katembea na msichana inayesemekana ameathirika

The End..

JF-Expert Member
Aug 13, 2013
4,365
3,819
Za mchana wana MMU nina imani ni wazima wa afya na tumshukuru mungu kwa kutuamsha wazima.

Nitatumia majina ya kubuni ili nieleweke vizuri.
Jamani kuna thread nilianzishaga humu kuwa kuna rafiki yangu yeye ni mwathirika HIV na anatembeza tembeza bakora ovyo mtaani na nje ya mtaa.

Sasa la leo linanifanya nikose uamuzi sahihi jinsi ya kuanza, kuna dada aitwaye Tausi yeye alitembea na huyo mwathirika kwa muda mrefu tu na alikuwa ni ndugu wanaoishi pamoja na jamaa mmoja aitwaye Fredy na huyo Fredy alikuwa na mfanyakazi wa ndani aitwaye Helena.

Sasa siku moja huyo Fredy kwa uchu wake alimbaka ndugu yake Tausi na kesi ilikuwa kubwa hatimaye huyo Tausi ilibidi ahame hapo nyumbani akabaki Fredy na mfanyakazi Helena ndani ya nyumba.

Hali ilikuwa mbaya kwa Fredy ikabidi atembee na Helena kumaliza haja zake za siri.

Sasa mdogo wangu ambaye nilileta thread humu kuwa anatembea na binti sio saizi yake amekuja kunionyesha binti mwenyewe kumbe ndo yule Helena anayetembea na Fredy, nilitokwa na jasho ghafla ila sijamwambia kitu tulisalimiana kawaida tu.

Sasa najiuliza nimwambie dogo hii cheni ili akapime na aachane na huyo binti au nikaushe nisije nikaleta matatizo mengine nisaidieni ndugu zangu mna mawazo gani juu ya hili.
 
za mchana wana mmu nina imani ni wazima wa afya na tumshukuru mungu kwa kutuamsha wazima!
Nitatumia majina ya kubuni ili nieleweke vizuri.....
Jamani kuna thread nilianzishaga humu kuwa kuna rafiki yangu yeye ni mwathirika hiv na anatembeza tembeza bakora ovyo mtaani na nje ya mtaa!!!
Sasa la leo linanifanya nikose uamuzi sahihi jinsi ya kuanza.... Kuna dada aitwaye tausi yeye alitembea na huyo mwathirika kwa muda mrefu tu na alikuwa ni ndugu wanaoishi pamoja na jamaa mmoja aitwaye fredy na huyo fredy alikuwa na mfanyakazi wa ndani aitwaye helena!!
Sasa siku moja huyo fredy kwa uchu wake alim'baka ndugu yake tausi na kesi ilikuwa kubwa hatimaye huyo tausi ilibidi ahame hapo nyumbani akabaki fredy na mfanyakazi helena ndani ya nyumba!
Hali ilikuwa mbaya kwa fredy ikabidi atembee na helena kumaliza haja zake za siri....
Sasa mdogo wangu ambaye nilileta thread humu kuwa anatembea na binti sio saizi yake amekuja kunionyesha binti mwenyewe kumbe ndo yule helena anayetembea na fredy daaah!!!
Nilitokwa na jasho ghafla ila sijamwambia kitu tulisalimiana kawaida tu!!

Sasa najiuliza nimwambie dogo hii cheni ili akapime na aachane na huyo binti au nikaushe nisije nikaleta matatizo mengine nisaidieni ndugu zangu mna mawazo gani juu ya hili!!


walking dead,inasikitisha
 
hayakuhusu, achana nao.

ila mkuu inawezekana akawa hajaambukizwa japo siyo mtaalam sana nasikia kama alikuwa anamwandaa vizuri demu wake asilimia ndogo sana ya kuambukizwa!!!!
natakiwa nipate sababu iliyoshiba jinsi gani ataachana na huyo binti...!!!!!!!!!!!
how can i get strong reason!!!!!!!!!!
 
ila mkuu inawezekana akawa hajaambukizwa japo siyo mtaalam sana nasikia kama alikuwa anamwandaa vizuri demu wake asilimia ndogo sana ya kuambukizwa!!!!
natakiwa nipate sababu iliyoshiba jinsi gani ataachana na huyo binti...!!!!!!!!!!!
how can i get strong reason!!!!!!!!!!
Kabla hujafikia huko mkuu nadhani muhimu ni kuwa mwambie akapime na hapo ndio patakuwa pagumu.
 
Mwambie tu. Ukishindwa, mpe mtu aongee naye simuni. Aanze kwa kumpa ushauri kwanza kidogo tu. Kisha amwambie awe chonjo na mpenzi wake. Mshauri apime na kuchukua hatua.
 
the-end.jpg
 
Mwambie tu. Ukishindwa, mpe mtu aongee naye simuni. Aanze kwa kumpa ushauri kwanza kidogo tu. Kisha amwambie awe chonjo na mpenzi wake. Mshauri apime na kuchukua hatua.

tatizo sio kama nashindwa kumshauri ila atanishangaa kwanini nampa habari ambazo anasimuliwa hadi mashuleni!!!
lazima nipate sababu ya kufanya hivyo au unamaanisha niseme yote ninayoyajua kwake!!!!
 
Back
Top Bottom