Recent content by KasomaJr

  1. KasomaJr

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Pole sana kwa yote haya JF inapitia na wewe kama Mkurugenzi wake. It's so sad nchi inapita katika hii trajectory upande wa uhuru wa habari, Haki, usawa wa kidemokrasia nk. We encourage you to stay focused while at the same time take all precaution about your safety, it's a matter of time...
  2. KasomaJr

    Israel imemuua Jenerali wa Iran Sayyed Razi Mousa vita vinaweza kuenea sehemu kubwa

    Story za magazeti hizi, Israel mpaka unaona inafanya strike ya namna hiyo hizo hesabu zoooote unazojua zilishafanyika. Qasem Soleimani was killed in air strike inside Tehran by so called US Army, lakini ukwlei walikuwa wanatekeleza interest of Israel.......Iran ili vow kulipiza kisasi kisicho...
  3. KasomaJr

    Waraka wa elimu Na. 3 wa mwaka 2023 kuhusu kalenda ya mihula ya masomo kwa shule za awali, msingi na sekondari kwa mwaka wa 2024

    Kimsingi huu si waraka unaopaswa kuwa siri kwa sababu huo ni muongozi tu kwa wadau na wazazi kuweza kupanga ratiba zao vizuri.... However tayari nimeshaupata nje ya JF hapa, nita share na wengine wenye uhitaji basi waupate.
  4. KasomaJr

    Waraka wa elimu Na. 3 wa mwaka 2023 kuhusu kalenda ya mihula ya masomo kwa shule za awali, msingi na sekondari kwa mwaka wa 2024

    Habari wadau wa JF, Kama mmoja ya wazazi na wadau wa elimu pia, nimejaribu kutafuta huu waraka mpya ambaoo umetolewa novemba 22, 2023 na wizara ya elimu bado sijafanikiwa kuupata. Nimechungulia kwenye website ya wizara husika, hakuna, taasisi zingine zinazo fanya kazi kwa karibu na wizara...
  5. KasomaJr

    Dada yangu amenisikitisha kutaka kuolewa kabla hajamaliza chuo

    We jamaa nilitaka kutumia lugha ngumu sana kujibu hoja yako lakini nimetafakari kidogo na kutaka kujua yafuatayo kabla ya kutoa majibu; 1. Umri wako ni upi? 2. Una exposure kiasi gani katika maisha ya kawaida 3. Imani yako je? Ni kama dada yako anaolewa na mtu anaesubiri sadaka, i assume wewe...
  6. KasomaJr

    SoC01 Pendekezo: Mfumo mbadala wa Manunuzi ya Umeme

    Mkuu Nathaniel, binafi kwanza nikupongeze kwa wazo zuri sana na mapendekezo yako. Ukweli nilishatoa wazo la namna hiyo kwa Tanesco, kupitia Mkoa wa Ki-Tanesco lakini pia kupitia media mbalimbali kama hizi, lakini zaidi ya maoni nimeshuhudia kwenye maonyesho ya sabasaba mwaka 2020 nimeshiriki...
  7. KasomaJr

    Msaada kwa mwenye uzoefu kupata US- Visa

    Hbari waja-Jamii Forum, Nakuja kwenu kuomba msaada wa uzoefu kwa wale ambao tayari wamepita huko, kupata VISA ya US hususani kwa mtu anae kwenda kusoma nje (USA), Nachotaka kufahamu ni challenge kubwa huwa ni eneo gani na namna ya kukabiliana nayo. Kwangu nina issue mbili ambazo hasa nahitaji...
  8. KasomaJr

    Natafuta Minazi ya muda mfupi

    Ipo lakini Morogoro, price nzuri na contact ninazo. Ni wataalamu wa Kilimo SUA....Ukiwa ok ni check inbox Sent using Jamii Forums mobile app
  9. KasomaJr

    Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

    Usifanye maamuzi ukiwa na hasira.....Hilo ndilo somo kuu hapo....Kwani hata kama angekuwa mbwa amewaua au kuwala, bado Kwa kumuua asingewarudisha watoto.....alikosa uvumilivu kidogo Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. KasomaJr

    Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

    Safi sana mkuu, banafsi suala la Kilimo ni moja ya malengo makuu makubwa niliyo nayo. Hongera sana mkuu kwa hatua kubwa hiyo, maana unaposema 'Umeheshimika maana yake ni kubwa sana, kwa mtu anayejua" Hongera sana.
  11. KasomaJr

    Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

    Habari zenu wana-Jamiiforum, *HISTORIA FUPI* Nimekuwa na ndoto ya kuanzisha biashara ya kudumu (Ya kitaasisi) kwa muda mrefu sana, na ndoto hii ilianza tangu nikiwa kidato cha sita miaka ya 2000. Moja ya vitu ambavyo nimewahi kujaribu na kwa sehemu flani nilifika hatua flani ambayo si ya kuita...
  12. KasomaJr

    Naomba msaada na ushauri wa kisheria

    Hata mimi najua hivyo. Hebu tuone Wataalamu wa sheria ya mambo ya ajira wanasemaje kuhusu hizi scenerio tpate picha na kujifunza zaidi.
  13. KasomaJr

    Naomba msaada na ushauri wa kisheria

    Mkuu kwani sheria za kazi zinasemaje juu ya unfair termination? Je katika mazingira hayo,je hudhani kuna haja ya kuzua aina ya mkataba wenyewe ni ipi? 1. Fixed term Contract-Ina maanisha nini kwenye masuala la mikataba ya ajira 2. Automatic renewal inatokea wakati gani? Maswali mengine ya...
  14. KasomaJr

    Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

    Pumbavu sana, nadhai familia inapaswa kupewa msaaa wa kisheria hapa. Wote walioshiriki kuweza kuchukuliwa hatua, kwani "Jinai" huwa hai-expire. Lakini zaidi ya hapo, most guys hapo UDSM never been gentlemen...Kuna mmoja anadai alishuhudia Binti akimeza vidonge vile na hakuchukua hatua kisa yupo...
Back
Top Bottom