Banzi
Member
- May 25, 2011
- 30
- 9
Scenario:
Case No 1. (Madai ya nyongeza-Mshahara)
Situation:
Mimi kama kiongozi wa idara pia (Makamu mkuu wa idara), nilipokea malalamiko ya vijana kuhusu kuongezewa mishahara, hii issue ilianza na mkuu wa idara lakini hakuwa amelipa uzito na kulisimamia kuwa madai utaratibu uedelee kufuatwa (Salary council itafanya kazi kulingana na sera ya kampuni).
Vijana hawakuwa wameridhishwa na majibu ya mkuu wa idara na badala yake hili jambo lilipelekwa kwa Mkurugenzi mkuu kwa njia ya barua (Barua ipo) ilikupata kauli yake rasmi na msimamo wa ofisi.
Mkurugenzi baada ya kuipata barua yetu, yalifanyika mambo yafuatayo:
- Kuagiza idara ya utumishi kufanya usaili wa wafanyakazi wapya kwenye idara yangu (Hearsay) ingawa ushahidi ni tangazo lililotolewa mara baada ya barua yetu kupokelewa, kupitia media za online).
- Baada ya wiki moja vijana waliomba majibu kupitia mimi, kwa kuonana na mkurugenzi nay eye kuahidi kuwa majibu atayatoa kwa kuwa ameshatoa maelekezo kwa idara ya HR kulifnyia kazi.
Mkurugenzi baadae aliamua kukaa na wafanyazi kulizungumzia jambo hilo na akatoa ufafauzi kwanini hawezi kuongeza mishahara ulioomba na wafanyakazi wa idara yangu (Minutes ya kikao ipo).
Case No 2.
Mikataba: (My case)
Mimi nimeajiriwa na kampuni sasa mwaka wa 5, Mkataba wangu wa kwanza ullikuwa wa mwaka 1, uliisha Feb 2016, Mkataba wa pili nilio sign ulikuwa wa miaka 3 ulioisha Feb 2019, baada ya hapo sikuwa nmimepewa mkataba mwingine wowote.
Mikataba: (Other Case)
Kulikuwa na vijana watatu (3) ambao kwa mujibu wa idara ya kazi (HR) mikataba wake unapaswa kuwa inakwisha January hii 2020 na unpaswa kuhuishwa (Renewal).
Utaratibu wa ndani ni kwamba mfanyakazi anapo maliza muda wa mkataba wake anapaswa kufanyiwa tathmini na msimamizi ya kazi ( kwa muktadha huo ni mimi kupitia taarifa ya miezi 12 ya utendaji wake.
Baada ya hilo kufanyika ni kupelekwa kwa mkuu wa idara kwa ajili ya uthibitishi (Approval), yote haya yalifanyika hivyo kilichokuwa kinasubiriwa ni mkataba mpya wa ajira.
Bahati mbaya taarifa nilizo nazo ni kwamba kati ya vijana watatu (3) ambao tumewafanyia tathmini, mmoja inadaiwa hatapewa mkataba na sababu hakuna za msingi zaidi ya hakuna (renewal).
Ushauri:
Kwa kesi yangu- Ambaye sikuwa na mkataba tangu mkataba wa miaka 3 ulipoisha mwaka 2019 February, position yangu ipoje?
Kwa kijana huyu ambae mkataba wake ulikuwa umeisha kweli, lakini tathmini yake imethibitisha anapaswa kupewa mkataba lakini sasa taarifa ni kwamba hatapewa (non renewal) position yake ipoje.
Asante nasubiri ushauri wako mkuu.
Case No 1. (Madai ya nyongeza-Mshahara)
Situation:
Mimi kama kiongozi wa idara pia (Makamu mkuu wa idara), nilipokea malalamiko ya vijana kuhusu kuongezewa mishahara, hii issue ilianza na mkuu wa idara lakini hakuwa amelipa uzito na kulisimamia kuwa madai utaratibu uedelee kufuatwa (Salary council itafanya kazi kulingana na sera ya kampuni).
Vijana hawakuwa wameridhishwa na majibu ya mkuu wa idara na badala yake hili jambo lilipelekwa kwa Mkurugenzi mkuu kwa njia ya barua (Barua ipo) ilikupata kauli yake rasmi na msimamo wa ofisi.
Mkurugenzi baada ya kuipata barua yetu, yalifanyika mambo yafuatayo:
- Kuagiza idara ya utumishi kufanya usaili wa wafanyakazi wapya kwenye idara yangu (Hearsay) ingawa ushahidi ni tangazo lililotolewa mara baada ya barua yetu kupokelewa, kupitia media za online).
- Baada ya wiki moja vijana waliomba majibu kupitia mimi, kwa kuonana na mkurugenzi nay eye kuahidi kuwa majibu atayatoa kwa kuwa ameshatoa maelekezo kwa idara ya HR kulifnyia kazi.
Mkurugenzi baadae aliamua kukaa na wafanyazi kulizungumzia jambo hilo na akatoa ufafauzi kwanini hawezi kuongeza mishahara ulioomba na wafanyakazi wa idara yangu (Minutes ya kikao ipo).
Case No 2.
Mikataba: (My case)
Mimi nimeajiriwa na kampuni sasa mwaka wa 5, Mkataba wangu wa kwanza ullikuwa wa mwaka 1, uliisha Feb 2016, Mkataba wa pili nilio sign ulikuwa wa miaka 3 ulioisha Feb 2019, baada ya hapo sikuwa nmimepewa mkataba mwingine wowote.
Mikataba: (Other Case)
Kulikuwa na vijana watatu (3) ambao kwa mujibu wa idara ya kazi (HR) mikataba wake unapaswa kuwa inakwisha January hii 2020 na unpaswa kuhuishwa (Renewal).
Utaratibu wa ndani ni kwamba mfanyakazi anapo maliza muda wa mkataba wake anapaswa kufanyiwa tathmini na msimamizi ya kazi ( kwa muktadha huo ni mimi kupitia taarifa ya miezi 12 ya utendaji wake.
Baada ya hilo kufanyika ni kupelekwa kwa mkuu wa idara kwa ajili ya uthibitishi (Approval), yote haya yalifanyika hivyo kilichokuwa kinasubiriwa ni mkataba mpya wa ajira.
Bahati mbaya taarifa nilizo nazo ni kwamba kati ya vijana watatu (3) ambao tumewafanyia tathmini, mmoja inadaiwa hatapewa mkataba na sababu hakuna za msingi zaidi ya hakuna (renewal).
Ushauri:
Kwa kesi yangu- Ambaye sikuwa na mkataba tangu mkataba wa miaka 3 ulipoisha mwaka 2019 February, position yangu ipoje?
Kwa kijana huyu ambae mkataba wake ulikuwa umeisha kweli, lakini tathmini yake imethibitisha anapaswa kupewa mkataba lakini sasa taarifa ni kwamba hatapewa (non renewal) position yake ipoje.
Asante nasubiri ushauri wako mkuu.