Unaambiwa hata ujio wa magari ulitisha na kuogopwa. Mpaka zikawekwa sheria kali, mojawapo ni mtu aliyeshika bendera kutangulia mbele .
Hatuwezi kuzuia mabadiliko, la msingi ni kujifunza namna ya kufaidika na mabadiliko (kuwa upande wa kufaidika)
Wakati wewe unaona watoto wakipiga fimbo makaburi...
Hivi Mwl.RCT hizi TV/screen (nadhani ni foldable) kuubwa zinawekwa kwenye maonesho ya wazi na makanisani (makanisa ya manabii na mitume);
1. Zinafanyaje kazi (connection mpaka video itokee kwenye mgu-screen
2. Bei zake, nazo zina zinatofautiana inches??
Hahaaaa.
Ni mbegu zimeboreshwa. Wananchi wengi tu wa Mara wanazinunua. Mbegu za Muhogo sio za kununua kila mwaka. Akinunua mara moja miaka mitatu inayofuata anakuwa anapanda hizohizo
Kwa sasa ni bora kutumia mbegu zenye ukinzani mkubwa kwa magonjwa. Matumizi ya pembejeo bora yanaweza kukupa matokeo bora.
Pia inapaswa kufanya ufuatiliaji shambani, uonapo wadudu kwenye mimea unatafuta dawa au kung'oa miche iliyoathiriwa.
Kilimo kama uwekezaji mwingine kuna faida na hasara...
Hivi Katiba inasemaje kuhusu idadi ya waliopiga kura vs waliotakiwa kupiga kura (quorum)?
Yaani mfano: waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 18, je ni kura kiasi gani/asilimia ngapi ya wapiga kura inaruhusiwa kupitisha mbunge na Raisi?
Mashine nzito. Kama Uchumi unakuruhusu (kununua na kuihudumia), likaribishe home.
Umeuza eneo, ukapata hela, unataka ununue bigger liability nyingine (umesema gari unayo) badala ya kupanua empire yako kwa kununua maeneo mengine mengi/makubwa zaidi ya ulilouza!
Inategemea na eneo. Shamba la kwenye irrigation scheme ni ghali sana. Kuna tanbarare za nje ya irrigation unakodi kati ya 50,000 na 200,000. Ila ndio hivyo mvua ikiwa nyingi ni hasara kwako.
Wilaya ya Mbarali na Chunya bonde la Rukwa; Rujewa, Madibira..... Ila ujue kwamba mpunga haustawi Mbeya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.