Recent content by Kashaija72

  1. Kashaija72

    Mwezi Oktoba mwezi wa Maria

    Hii flow nimeipenda
  2. Kashaija72

    Nahitaji mume

    Kuna wanawake tu? Mbona umetudhau Lovelovie Unaowaona kanisani/msikitini ndio haohao waliopo JF. Atapata tu inshallah.
  3. Kashaija72

    Nahitaji mume

    Usimkatishe Nia. Humu Kuna single men and women hivyo anaweza kupata.
  4. Kashaija72

    Nataka kuwa Lecturer, ninahitaji GPA ya ngapi?

    Angalau uwe na 3.8 kupanda. Ila kutokana na kuwa wengi wanazipata hizo 3.8 yakupasa jiweke kwenye 4.2-5. Je umejiandaaje usipoipata hiyo kazi? Au chuo ni Cha familia yenu?
  5. Kashaija72

    Mustakabali wa Watoto wetu uko shakani

    Mimi huwa naenda Vijijini huko kwa wakulima, ni sehemu ya kazi yangu. Huwa natamani kuwapiga makonzi watu wazima. Watu wamejichokea na maisha duni. Mimi kama change agent huwa najaribu kuwafanya wajione wapo responsible kwa ajili ya maendeleo Yao na wajukuu wao, lakini utasikia "serikali...
  6. Kashaija72

    Mtu unatoaje huduma ya gesti bila kondomu?

    Tatizo ni mwanaume kukaa wiki bila kumwaga proteins. Ni maumivu
  7. Kashaija72

    Mtu unatoaje huduma ya gesti bila kondomu?

    Sometimes kutokana na kazi, njia kuu inakuwa imeachwa mkoani.
Back
Top Bottom