Wakuu nimfanyeje huyu kiumbe?

Wakuu nimfanyeje huyu kiumbe?

Kabisa kaka naunga mkono hoja 😂 😃
Huo ndio ukweli halafu vijana kuna dipresheni za kujitakia tu kama huyu mleta uzi kama siku 5 zilizopita aliandika uzi wa makasiriko kuhusu members wa JF akakugusia nadharia hewa. Eti humu wanaonekana high profile kumbe Kiuhalisia sio sasa uzi kama ule unamuonesha kabisa ni mtu aliyeshindwa kuhandle dipresheni zake 😂
 
Bado Tu Una Fikra,,,Za Zama Za Mawe Za Kati....Usafi Wako Na Kwako Hadi Uwe Na Mgeni/Wageni.....Punguza Kupagawa....
 
Tipwa×2 anakujulia, utakuwa na changamoto ya kuoga kama walivyo wanaume wengi.

Kavumilia akaona isiwe shida, kakuambia live!!
 
3630A972-E6E8-47A0-9F93-35292C3896DC.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom