Habari yenu wanajamvi,
Naomba kufahamishwa aliko huyo bwana mkubwa, maana tangu akamatwe na polisi hamna feedback yoyote inayotolewa. Ikumbukwe kwamba Masamaki alituhumiwa kuwa na utajiri wa mali nyingi ikiwemo nyumba zaidi ya 70.
Ningependa sana kufahamishwa aliko kwa sasa.
Natanguliza...
Kama wote tujuavyo habari inayotikisa vichwa vya habari kwa sasa ni kuhusu ile video inayoonyesha walimu wa field wakimshambulia mwanafunzi wa kidato cha 3 katika sekondari ya kutwa ya Mbeya.
Kwanza kabisa nikiwa kama mtanzania, naungana na watanzania walio wengi kulaani kitendo hiki cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.