Recent content by KASEHUYE

  1. K

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kuhusu matunzo and specifically kwa watoto (gharama)

    Habari ya usiku viongozi? Samahani, naomba kujua utaratibu kisheria uko vp kwa mwanaume aliyeachana na mwanamke huku wakiwa wamezaa wore. I mean sheria inasemaje kuhusu matunzo and specifically kwa watoto (gharama). Mimi ni mtumishi niko kwenye NGO moja hapa kwetu (Tanzania). Note: Nina watoto...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

    Kazi kwenu ndugu zangu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Msaada please!

    Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo. Ahsanteni. Be blessed!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Nashukuru sana kwa mawazo yenu mazuri
  5. K

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Heshima yenu wakubwa kwa wadogo. Samahani, mimi ni kijana wa umri wa miaka 29. Naomba msaada wa dawa au ushauri wa jinsi ya kuacha au kupunguza ulevi/unywaji wa pombe. Kiukweli nimezama kweli kweli kwenye dimbwi la ulevi wa pombe yaani mpaka kuna baadhi ya mambo yangu hayaendi kabisa na kuna...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Msaada/Ushauri!

    Habari Dear good people? samahani, kuna shirika linaitwa MDH (Management and Development for Health) linajishughulisha na HIV/AIDS related issues. Shirika hilo limetangaza ajira nyingi tu Tabora. Naomba kujua kwa eale wenye uzoefu MDH huwa wako fair kwenye mchakato mzima wa kuajiri na payments...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu

    Samahani, naomba kufahamu namna ya ku block zile ads za google ambazo huwa zinatokea kwenye either website au applications kwenye smartphones. Ahsante
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    PERFECT 12 HIYO PREDICTIONS ZENU JAMANI AHSANTENI 1 La Liga MALAGA vs BETIS 2.15 3.47 3.60 2 Cyprus ALKI OROKLINIS vs PAFOS FC 2.30 3.08 2.90 3 Turkey GOZTEPE vs KONYASPOR 2.05 3.35 3.60 4 Greece LEVADIAKOS vs PANIONIOS 2.80 2.70 2.60 5 Israel 2 BEITAR JERUSALEM vs MACCABI TEL AVIV 2.55...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Duuuh!!!

    Sote kurudi CCM
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona majibu yako hayaeleweki Mkuu?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni mnibetie timu zifuatazo.... 1. Everton vs Westham 2. Nantes vs Monaco 3. Las Palmas vs Depotivo la Coruna 4. Angers vs Rennes 5. Guingamp vs Montpellier 6. NK OSIJEK vs HNK HAJDUK SPLIT 7. KORTRIJK vs ANTWERP 8. LANUS (ARG) vs GREMIO (BRA) 9. U. SAN MARTIN vs ALIANZA LIMA Ahsanteni...
  12. K

    JamiiForums Tanzania DIPLOMA YA LAW NA DIPLOMA YA JOURNALISM

    Zote mizigo tu...ila kati ya hizo ni bora hata asome Diploma in Law
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli basi hii aibu ni kubwa mno kwa Rais Magufuli....

    Yetu macho
  14. K

    JamiiForums Tanzania Msaada!

    Habari Ndugu zangu! Samahani sana naomba kufahamu kati ya SD Bioline na Alere Determine...kipi ni kipimo bora zaidi kwa kupima HIV. Ikumbukwe kuwa Alere was once used in Tanzania na SD Bioline ndio sasa inatumika. Ahsante
  15. K

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Ahsante sana Kiongozi
Back
Top Bottom