tunayatoa nje walau kupata unafuu ndugu yangu sema sasa wamama wengine wakisha choka sana huwa tunachanganyikiwa na wakishachanga nyikiwa hawajui waanzie wapi ndipo huanza kumweleza kila mtu tatizo lake
Jamani wana MMU kuna ndoa zomevunjika nimezishuhudia zaidi ya 3 na zote ukizisikiliza kesi zao nimwanaume kutokuwa mwaminifu yaani kuwa na nyumba ndogo au kutoka na wanawake tofauti tofauti nje ya ndoa lakini cha kushangaza jamii inawahukumu hao wanawake walioachwa kuwa wameshindwa kuipalilia...
Jamani hivi ingekuwa vip kama wanaweke nao wangepewa uwezo wa kutoa talaka kwa waume zao? cos unakuta mwanaume anamyanyasa sana mke wake na kila akiomba talaka yake hapewi wakati yeye mwanaume anajivinjari na wanawake wengine nje mwanamke hata msg ikikutwa tu kwenye simu ni balaa maana kipigo...
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana unaweza kumsaidia huyo mama kila kitu den siku ya kesi akakugeuka na kusema wewe ndo ulimshawishi kufanya hivyo ila bado mume wake anampenda sana utatatamani ardhi ipasuke uingie maana huyo baba kibano kitakugeukia. unaweza kumpa tu ushauri afanye mwenyewe au...
huo ushauri wa kibailogia si uutoe hadahrani na sisi wengine tufaidike usiwe mbinafsi au hujiamini na huo ushauri wako weka mambo hadharani wanajamvini tuone kama ni kweli na yale tusoyajua tuyajue
Pole sana dada japo hujafafanua vizuri wewe umesema unamatatizo ya kimaumbile halafu hufiki kileleni. Tatizo lako la kimaumbile ni lipi? pengine sio tatizo cos wewe umeshaliwaza na kuconclude kuwa ni tatizo ndo maana unaona hivyo. Wanyaruanda wanavuta nini?? pia unauliza hujachelewa kuvuta...
tukifananisha makampuni ya cmu na mademu,airtel ni sista du anayependa starehe na kubadili majina na kupenda wenye nazo,vodacom mchumba wa kuoa kabisa,zantel jimama la kulea vitoto,ttcl kibibi kinacho lazimisha ujana,tigo changudoa asiyejali maslahi na asiye na bei.JE WEWE NI KAMPUNI GANI?
Mi nafikiri kile kipengele cha mpaka kifo kitakavyotutenganisha (???) Kiangaliwe kwa jicho la tatu
maana upande mmoja naona kama unaumizwa!!!!!! Uzuri wa mkataba na wote mfaidike nao ni kila mmoja kutokukiuka makubaliano.
NIKUPENDE:israel:
NIKUTUNZE:israel:
KATIKA TABU NA RAHA:israel:
Mbona mnangangania tu kwenye pombe na kutoka nje ya ndoa????? mimi hivyo nimevitoa tu as an exmple jamani mada inasema tunaishi sivyo tulivyokuwa tunaishi haujalishi ni gubu, pembe, kujirusha whatever ilimradi kuna mtu behind kabadili life stail yako. sasa mi nashangaa kila mtu anakomalia pombe...
Thanks sana shantel kwa uelewa wako wa hali ya juu Keep it up maana watu wengine wanakurupuka tu bila kujua huyu aliyeandika anasemaje au anamaanisha nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.