Karina
Member
- Jun 17, 2011
- 51
- 16
[h=6]tukifananisha makampuni ya cmu na mademu,airtel ni sista du anayependa starehe na kubadili majina na kupenda wenye nazo,vodacom mchumba wa kuoa kabisa,zantel jimama la kulea vitoto,ttcl kibibi kinacho lazimisha ujana,tigo changudoa asiyejali maslahi na asiye na bei.JE WEWE NI KAMPUNI GANI?[/h]