Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
jamani nahisi nilizaliwa nina matatizo ya kimaumbile,sifiki kileleni -inorgasmic. in the past nishawahi kuwa na mahusiano ila baada ya kugundua hali yangu tukaachana,najiuliza niseme kama nina tatizo hili pale tu napokutana na mwenza??? hataniacha??.........naskia wanyarwanda wanazivuta zao zinakuwa kubwa is it too late kufanya hii procedure now mie ni mtu mzima? kuna wanaume wako tayari na wanafurahia kuwa na mwanamke ambaye hafiki kileleni?????
asanteni......
asanteni......