Niseme mwanzo?

Jestina

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,831
1,707
jamani nahisi nilizaliwa nina matatizo ya kimaumbile,sifiki kileleni -inorgasmic. in the past nishawahi kuwa na mahusiano ila baada ya kugundua hali yangu tukaachana,najiuliza niseme kama nina tatizo hili pale tu napokutana na mwenza??? hataniacha??.........naskia wanyarwanda wanazivuta zao zinakuwa kubwa is it too late kufanya hii procedure now mie ni mtu mzima? kuna wanaume wako tayari na wanafurahia kuwa na mwanamke ambaye hafiki kileleni?????

asanteni......
 
jamani nahisi nilizaliwa nina matatizo ya kimaumbile,sifiki kileleni -inorgasmic. in the past nishawahi kuwa na mahusiano ila baada ya kugundua hali yangu tukaachana,najiuliza niseme kama nina tatizo hili pale tu napokutana na mwenza??? hataniacha??.........naskia wanyarwanda wanazivuta zao zinakuwa kubwa is it too late kufanya hii procedure now mie ni mtu mzima? kuna wanaume wako tayari na wanafurahia kuwa na mwanamke ambaye hafiki kileleni?????asanteni......
Unajidanganya, sio kwamba hufiki kileleni, hujafikishwa.
 
A friend of mine tried ViaGrow and recommended it to me 3 weeks ago. I ordered the products and received them within 5 days. The results have been incredible and I can't wait to see what months 2 and 3 bring.
 
jamani nahisi nilizaliwa nina matatizo ya kimaumbile,sifiki kileleni -inorgasmic. in the past nishawahi kuwa na mahusiano ila baada ya kugundua hali yangu tukaachana,najiuliza niseme kama nina tatizo hili pale tu napokutana na mwenza??? hataniacha??.........naskia wanyarwanda wanazivuta zao zinakuwa kubwa is it too late kufanya hii procedure now mie ni mtu mzima? kuna wanaume wako tayari na wanafurahia kuwa na mwanamke ambaye hafiki kileleni?????

asanteni......

Pole sana dada japo hujafafanua vizuri wewe umesema unamatatizo ya kimaumbile halafu hufiki kileleni. Tatizo lako la kimaumbile ni lipi? pengine sio tatizo cos wewe umeshaliwaza na kuconclude kuwa ni tatizo ndo maana unaona hivyo. Wanyaruanda wanavuta nini?? pia unauliza hujachelewa kuvuta?? labda niwasubiri wenzangu wanaojua kunyambua mambo
 
Hueleweki...unasema hufiki kileleni ambalo ni tatizo la ki'fiziolojia' na/au ki'saikolojia' lakini unaelezea kuhusu sijui kuvuta maumbile which sounds more anatomical! Kama una tatizo la kimaumbile (anatomical) labda ulikeketwa na unatamani kuwa na maumbile sawa na wenzako ukiamini ndio utatuzi wa wewe kufika kileleni, nakushauri kamuone daktari wa wanawake akuchunguze kama kweli kuna tatizo la kimaumbile litakaloingiliana na uwezo wako wa kupata 'mshindo', kama sivyo...basi tatizo lako litakuwa la kifiziolojia na/au kisaikolojia ambayo utatuzi wake upo ukapata nawe starehe stahiki!
 
Pole sana dada japo hujafafanua vizuri wewe umesema unamatatizo ya kimaumbile halafu hufiki kileleni. Tatizo lako la kimaumbile ni lipi? pengine sio tatizo cos wewe umeshaliwaza na kuconclude kuwa ni tatizo ndo maana unaona hivyo. Wanyaruanda wanavuta nini?? pia unauliza hujachelewa kuvuta?? labda niwasubiri wenzangu wanaojua kunyambua mambo
Kama ulikuwa mawazoni mwangu na mimi nilitaka kumswalika hayohayo...penye nyekundu tafadhali dada jestina..
 
Ilo sio tatizo, tatizo ni hao unaokutana nao wanajifikilia wao tu ndio maana humalizi, inabidi uwe muwazi kwa mtu wako kwa kumuambia kuwa hakufikishi bila shaka atafanya jitihada zaidi upate kuukojoa maana hata wanaume huwa tunajisikia vibaya sana kutomfikisha mtu wako.
 
ni tatizo la kimaumbile nimeconclude baada ya kuwa na wanaume kama wanne hivi,bila kufikishwa kileleni.....
na wanyarwanda nimesikia tu wanavuta zile sehemu unazofanya ufike kileleni mpaka zinakuwa kubwa hivyo kufika haraka,so katika desperation yangu ndio nahisi labda nikifanya hivyo nitafanikiwa ila sijajua wanavuta wakiwa wadogo au hata utu uzimani zitakuwa kubwa nilitaka kujua???
tatizo langu sio la kisaikolojia-sijawahi kubakwa mie na huwa naandaliwa vyema kabla ya tendo sema ndio utanisugua weeeee bila kuniona nafikia mshindo.......
 
nahisi nina sehemu ndogo sana inayonifanya nifikie mshindo hivyo mara nyingi nikikutana na wanaume wanaimiss hii sehemu kwa udogo wake! wakati wanathrush ndio maana nikaconclude ni tatizo la kimaumbile
 
Umejuaje kama ni wewe ndo mwenye tatizo na kwamba si hao boyfriends wako walikuwa hawajui namna ya kukufikisha? Sidhani kama kweli ukipata mtaalamu mzuri utashindwa kufika. Ni Pm nikupe ushauri wa kibiolojia.
 
si uachane na hayo mambo ujue sio lazima kwani utakufa au utapoteza nini? kama kitu hakina maslai achana nacho mwaya
 
Pole sana dada ningekuwa sijaoa ningekupa miahadi wap 2onane ningekuonesha unafika vp kileleni na naimani ungejiona huna tatizo utapata dada kale kamchezo kanaitaji utundu sana na elimu mbadala
 
ni tatizo la kimaumbile nimeconclude baada ya kuwa na wanaume kama wanne hivi,bila kufikishwa kileleni.....
na wanyarwanda nimesikia tu wanavuta zile sehemu unazofanya ufike kileleni mpaka zinakuwa kubwa hivyo kufika haraka,so katika desperation yangu ndio nahisi labda nikifanya hivyo nitafanikiwa ila sijajua wanavuta wakiwa wadogo au hata utu uzimani zitakuwa kubwa nilitaka kujua???
tatizo langu sio la kisaikolojia-sijawahi kubakwa mie na huwa naandaliwa vyema kabla ya tendo sema ndio utanisugua weeeee bila kuniona nafikia mshindo.......

Ni PM unipe namba ya simu yako nitakusikiliza, mambo mengine si ya kupitisha hapa utapata majibu mengi yatakuchanganya. Tupo wajuzi wengi humu jf!
 
si uachane na hayo mambo ujue sio lazima kwani utakufa au utapoteza nini? kama kitu hakina maslai achana nacho mwaya

bebii upweke nao si kitu cha rahisi,i wish ningepata mwanaume tuwe marafiki tu bila kuwa na sex...ila kwa zama hizi kumpata mwanaume wa hivyo ni ndoto kwa kweli...
 
Ni PM unipe namba ya simu yako nitakusikiliza, mambo mengine si ya kupitisha hapa utapata majibu mengi yatakuchanganya. Tupo wajuzi wengi humu jf!

tafadhali mulama kama una majibu ya matatizo yangu weka hapa,huwezi jua utakuwa umesaidia wangapi wanaokufa na tai zao shingoni
 
hata mimi nimetafuta wa aina iyo tusisex hadi humu jf sijapata yaani nao wamekomalia iyo kitu acha tu nabaki na upweke wangu shost
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom