Wanawake wengi tumebadilika kitabia kutokana na tabia za waume zetu

Mhh sidhani kama happiness inatafutwa hivyo..., na Mwisho wa Siku utajikuta karaha inazidi..
Sasa ufanyeje na ushatafuta njia ya kusuluhisha hupati, atleast ukienda shopping na kujichanganya kupata ulabu na rafiki zako itakuondolea msongo wa mawazo kuliko kukaa ndani na kulia peke yako, hivi unajua VOR kuna wanaume hawajali kabisa kama unaumia au la, maadam keshaamua lake baas, kuna dada namjua anaweza kaa miezi sita bila tendo la ndoa, na akiomba mwanaume anakuwamkali kama mbogo, anaweza asafiri siku inayofata ndio anapiga simu niko mahali fulani, sasa unafikiri akiamua kujichanganya na kuhave fun jamii itamshangaa na huyu,au asubirie ndani kufa na presha na madepression
 
Sasa ufanyeje na ushatafuta njia ya kusuluhisha hupati, atleast ukienda shopping na kujichanganya kupata ulabu na rafiki zako itakuondolea msongo wa mawazo kuliko kukaa ndani na kulia peke yako, hivi unajua VOR kuna wanaume hawajali kabisa kama unaumia au la, maadam keshaamua lake baas, kuna dada namjua anaweza kaa miezi sita bila tendo la ndoa, na akiomba mwanaume anakuwamkali kama mbogo, anaweza asafiri siku inayofata ndio anapiga simu niko mahali fulani, sasa unafikiri akiamua kujichanganya na kuhave fun jamii itamshangaa na huyu,au asubirie ndani kufa na presha na madepression

Depends kama hizo pombe unazokunywa hazipitilizi na kukufanya kuwa mlevi wakati ulikuwa mtu wa maana na msimamo, (Pombe sio mbaya lakini ikipitiliza....!!!) Au kama kutembea nje kunakufanya deep down ujione kwamba hufai (na morals zako unaona kwamba umezikiuka)..,

Point yangu ni kwamba kubadilisha misimamo yako ambayo ulikuwa nayo ya maisha sababu ya mtu unakuwa hujitendei haki mwenyewe.., Sababu kuna solution nyingine ya kuachana na huyo anayekupa hayo matatizo.., Sababu kama hapo zamani hukuitaji pombe ili ikupe raha sidhani kama ukubwani ndio itakuwa ni solution.., huenda hii ikawa the Begging to a Personal Destruction

"If he does not care enough, you should live him"
 
Depends kama hizo pombe unazokunywa hazipitilizi na kukufanya kuwa mlevi wakati ulikuwa mtu wa maana na msimamo, (Pombe sio mbaya lakini ikipitiliza....!!!) Au kama kutembea nje kunakufanya deep down ujione kwamba hufai (na morals zako unaona kwamba umezikiuka)..,

Point yangu ni kwamba kubadilisha misimamo yako ambayo ulikuwa nayo ya maisha sababu ya mtu unakuwa hujitendei haki mwenyewe.., Sababu kuna solution nyingine ya kuachana na huyo anayekupa hayo matatizo.., Sababu kama hapo zamani hukuitaji pombe ili ikupe raha sidhani kama ukubwani ndio itakuwa ni solution.., huenda hii ikawa the Begging to a Personal Destruction

"If he does not care enough, you should live him"
Hii inatushinda waafrika sana sababu ya malezi, wazazi utakuta tuliwaona wanavumilia mengi, na wenyewe wanatufunza pia tuvumilie....ndio inapelekea kutafuta njia mbadala za kukufanya uwepo, kingine watoto, wamama wengi anashindwa kutoka sababu ya watoto na vipato viakuwa vidogo, na kuna kipindi tuna sacrifice maisha yetu sababu ya familia zetu tu.....
 
Mke mwenye busara hawezi kubadilika kwa sababu ya tabia mbaya za mumewe. Atamwombea mumewe na kumshauri ili arudi kwenye mstari. Niliwahi kuwa katika mahusiano na mtu tofauti na mke wangu, lakini mke wangu alipogundua alifunga akaniombea - Mungu alifanya muujiza - ghafla nilianza kumchukia huyo nyumba ndogo na niliachana naye na sikurudia tena kuwa na mahusiiano na mke mwingine tofauti na mywife. Sitegemei tena kufanya ujinga wa hivyo. Nampenda sana mama watoto wangu.
 
Mke mwenye busara hawezi kubadilika kwa sababu ya tabia mbaya za mumewe. Atamwombea mumewe na kumshauri ili arudi kwenye mstari. Niliwahi kuwa katika mahusiano na mtu tofauti na mke wangu, lakini mke wangu alipogundua alifunga akaniombea - Mungu alifanya muujiza - ghafla nilianza kumchukia huyo nyumba ndogo na niliachana naye na sikurudia tena kuwa na mahusiiano na mke mwingine tofauti na mywife. Sitegemei tena kufanya ujinga wa hivyo. Nampenda sana mama watoto wangu.
Una bahati mshukuru sana Mungu
 
Ni kweli kabisa ila hii haitusababishii tuwe vichaa au kufanya mambo ya ajabujabu, la muhimu ni kuwaombea hawa wau na kuwa na kiasi na huko kujiachia, sababu ukiwa na hali mbaya ya mahusiano ni vizuri kujichanganya na watu kutoka shopping, movie ila unakuwa na kiasi ukijua una majukumu ya kifamilia
 
Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu, Hasira, Kiburi, Dharau, Mawazo, Magonjwa, Ulevi, na hata utumiaji wa pesa hovyo kwa madai kwamba mbona yeye anapeleka kwa wanawake zake huko nje let me enjoy. Wanawke hoyeeeeeeeeeeee:israel:
Na kushindana na waume zenu, ukisikia tetesi kuwa ana nyumba ndogo na wewe unalipizia kwa serengeti boy. Poa tu, mnasaidiana ku-redistribute hizo fedha za ufisadi, wapo zinaowasaidia. Mshikaji wangu alipataga div four ya form six na kwao kulikuwa choka mbaya kila mara anarudishwa nyumbani kwa kukosa ada, tulipomaliza mida tuko kitaa akapata shuga mamy la nguvu tena jisomi hilo likampiga tafu ya kiukweli, kwanza likampa kazi ya part time ofisini kwake masuala flani ya research, afu likamshauri aanze upya A-level za evening class na asome combination mpya badala ya ile CBG iliyomlostisha mwanzo. Mshua akapiga HKL kwa msaada wa jimama kifedha vitabu na kila kitu huwezi amini ametoka na div one 9 pts na sasa yuko mlimani anapiga digrii kiulaini. Bila mabadiliko hayo ya kinamama mshkaji wangu asingesoma. Mijimama oyeeeee!
 
Kweli misukosuko ya ndoa inaweza kukubadilisha, jambo kubwa ni kumuomba Mungu sana kisha kujijali na kujali wanao, tusijidanganye utaweza kumbalisha tabia. A tiger would never change his spots..
Pole sana, ila hiyo siyo njia sahihi ya kutatua tatizo lako, ni kukaa naye na kuongea naye na umiambie hiyo tabia huipendi, kama habadiliki muombe Mungu hata kwa kufunga na kuomba ili ambadilishe mumeo, pia tafuta mtu mwenye heshima zake ambaye unaona ndoa yake iko vizuri akushauri. Otherwise utakuwa unajikomoa mwenyewe na mwenzako anaendelea kutesa tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nyie mnawaonea wanaume tu bure hapa! Tabia unajibadilisha mwenyewe, wapo kina mama waume zao walezi, wazinzi lakini wao wakemua wanaenda kusali makanisani na misikitini kuwaombea waume zao, na wala wao wahakubadilisha tabia na wao wakawa walezi na wazinifu! Kwa hiyo nyie mnaobadilisha tabia zenu kwa visingizio vya kulipisa kisasi kazi kwenu. Eti umemfumania mumeo na wewe unaenda kutafuta kabwana kako unasema mumeo kakubadilisha wapi wewe! Source hapa ni uwezo wa kufikri wala sio mumeo, kuna mambo mwengi unayoweza kufanya pindi ukimkuta mumeo na kosa sio lazima ufanye kama yeye alivyofanya. Kwa hiyo mnajibadilisha wenyeweee siyo wanaume
wanawabadilisha
Kuna vitu vingi kama nini vyakuombea kama watoto wawe na afya njema wazazi masomo bado nije nihangaike na mtu ambaye hata habadiliki mweeeeeeeeeeee niacheni
 
Naona kama unachanganya madesa mpendwa, kubadilika tabia sio lazima ziwe mbaya unaweza ukaanza kushinda kanisani na mwisho wake ukageuka mwehu sababu ya depression na hiyo nayo ni tabia mbaya.
Chauro you are right my dear yaani watu hawajanielewa kabisa yaani mtu unaishi tofauti na ulivyozoea cos of HUBBY.
 
Kuna watu naona wanajibu kiushabiki maandazi sababu umeongelea wanawake .Tusisahau kuna wanaume ambao hubadilishwa na wake zao alikuwa anapenda kuwahi nyumbani with time anashinda barabarani akute mke kalala.


Chauro you are right my dear yaani watu hawajanielewa kabisa yaani mtu unaishi tofauti na ulivyozoea cos of HUBBY.
 
Karen sio vizuri ulipa kisasi ndio nakubali, but nilivomwelewa anafanya yooote hayo kutafuta happiness, na vyote alivovitaja naona sio haramu,
Thanks sana shantel kwa uelewa wako wa hali ya juu Keep it up maana watu wengine wanakurupuka tu bila kujua huyu aliyeandika anasemaje au anamaanisha nini
 
Depends kama hizo pombe unazokunywa hazipitilizi na kukufanya kuwa mlevi wakati ulikuwa mtu wa maana na msimamo, (Pombe sio mbaya lakini ikipitiliza....!!!) Au kama kutembea nje kunakufanya deep down ujione kwamba hufai (na morals zako unaona kwamba umezikiuka)..,

Point yangu ni kwamba kubadilisha misimamo yako ambayo ulikuwa nayo ya maisha sababu ya mtu unakuwa hujitendei haki mwenyewe.., Sababu kuna solution nyingine ya kuachana na huyo anayekupa hayo matatizo.., Sababu kama hapo zamani hukuitaji pombe ili ikupe raha sidhani kama ukubwani ndio itakuwa ni solution.., huenda hii ikawa the Begging to a Personal Destruction

"If he does not care enough, you should live him"

Mbona mnangangania tu kwenye pombe na kutoka nje ya ndoa????? mimi hivyo nimevitoa tu as an exmple jamani mada inasema tunaishi sivyo tulivyokuwa tunaishi haujalishi ni gubu, pembe, kujirusha whatever ilimradi kuna mtu behind kabadili life stail yako. sasa mi nashangaa kila mtu anakomalia pombe na kutoka nje. kweli mwalimu wenu wa kunyambua mambo alikuwa na kazi??? nashukuru kuna baadhi kama kina chauro na wengine wachahe wamenielewa
 
But who is the sourse????? umenitoa kwetu sikuhi kuongea mwenyewe kama chizi wala kumuwazia mwingine mabaya but now.........woh!!!!!! nitapiga keleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Lazima inafika siku unare evaluate hali iliopo, good thing ni kuwa ukifanikiwa kuwa objective, ukaona maisha bila huyo kero, unasurvive, unaweza kuwa mtu wa kawaida.
kuna mtu aliwahi kusema humu, dawa ni kutokumpenda huyo mume 100% mwanzoni, sasa usimpompenda anasema unapenda hela zake tu, ukimpenda anakuona mshamba, unaponea kwake,
 
Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu, Hasira, Kiburi, Dharau, Mawazo, Magonjwa, Ulevi, na hata utumiaji wa pesa hovyo kwa madai kwamba mbona yeye anapeleka kwa wanawake zake huko nje let me enjoy. Wanawke hoyeeeeeeeeeeee:israel:

Hoyeeeeeeeee
Wametubadili sana, sometime for the better and sometime for the worse, mie namshukuru wangu sana kwani amenipatia, mie the only daughter, baba ananiabudu, mama ananidekeza hadi leo, lakini huyu kaka ameweza kunifanya nifikirie watu wengine, yeye anatokea familia kubwa kwa hio hakuna selfishness, ni sharing of everything, time, feelings, money, worries nk. mie hayo sikujua, hata sikuwa naona kama natakiwa niwe responsible kwa mtu yoyote, ila sasa naanza kujikuta nasaidia watoto wa ndugu ets.

To me this is a very positive effect, hata wazazi wangu wanashangaa pricess wao kawa vipi.

Lakini kwa upande mwininge, it is difficult to change na my only advise in this, pleaese usifanye jambo kwa kumlipizia kisasi, fanya tu kwa kujiliwaza, tafuta sehemu au kampani safe ya kujiliwaza. ni very risky kujiliwaza na vitu vya siri, kama sex, porn, shopping, food, drinks, ni rahisi kupitiliza na kuwa addicted.
 
Kuna watu naona wanajibu kiushabiki maandazi sababu umeongelea wanawake .Tusisahau kuna wanaume ambao hubadilishwa na wake zao alikuwa anapenda kuwahi nyumbani with time anashinda barabarani akute mke kalala.
JF sasa hivi haina tofauti na bunge la TZ cos kule mada ikiletwa tu na upinzani hata kama inamantik utaona inapingwa na wenzao cos tu imetoka upinzani
 
Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu, Hasira, Kiburi, Dharau, Mawazo, Magonjwa, Ulevi, na hata utumiaji wa pesa hovyo kwa madai kwamba mbona yeye anapeleka kwa wanawake zake huko nje let me enjoy. Wanawke hoyeeeeeeeeeeee:israel:

Umewahi kujiuliza chanzo cha mwanaume wako kubadilika na kuwa na tabia mbaya? Ulitumia muda wa kutosha kumsoma tabia yake kabla ya kuamua kuishi naye? Ulimshirikisha Mungu?
 
Back
Top Bottom