Salaam wakuu,
Tafadhali naomba niulize kama miongoni humu kuna watu waliowahi kutumia huduma ya Haloyako kutoka Halotel.
Huduma hii inahusisha kutunza pesa na kupokea riba kidogo, kutoka haloyako. Naomba kujua kama kuna wadau wameweza kutunza na kupokea pesa zao bila matatizo.
Naomba uzoefu...
Asante sana ndugu, ila ukweli niliwahi kuugua vidonda vya tumbo. Baada ya kumaliza dozi nikawa vzr kabisa yale maumivu ya chini ya kifua saiv hayapo. Ila hii hali ya mchanganyiko wa damu inaweza kusababishwa na nini?
Ivi jamani kwani imani za dini afrika zimeingia miaka gani?
Halafu ivi wale wazee wetu kabla ya mapokeo ya hizi dini tulizonazo hivi sasa watahukumiwa kwa misingi ya imani gani?
M nadhani imani zetu za kiasili zipo, waache watu wafanye uafrika wao [emoji23]
Ndugu mtoa mada. Naelewa hali yako kwasasa ila take a time. Achana na mambo ya kuwazia fadhila ulizomfanyia utazidi kuumia. Jipe muda kufanya mambo mengine kabisa because time heals everything, fikiria ndugu zako, wazazi wako then hamishia kila kitu huko. Wakiwa na furaha na ww itakupa amani...
Wadau nawasalimu,
Leo nimenunua Diamond Karanga na nimejikuta nimeshinda Carton ya Diamond Karanga. Naomba mnijuze nitawezaje kupata zawadi yangu.
Mwisho kabisa nawatakia kila la heri kwa mwaka mpya 2018.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.