Recent content by kapongo kakolongo

  1. kapongo kakolongo

    Usiombe kudaiwa na TALA

    Kukopa unakopa kwa shida kulipia nako shida duh
  2. kapongo kakolongo

    TALA wala rungu la TRA

    Saizi bado wanakopesha
  3. kapongo kakolongo

    Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

    Nataka kujua IPI bora kwa process za shutting videos kutumia projecta au flat ... Maana ndo kwanza naingia Kwenye game
  4. kapongo kakolongo

    Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

    Waarabu wana tabia chafu sana sipendi kabisa kuwaona...maana namkumbuka jamaa kila nikiwaona hawskawii kukunyongea usirudi kabisa bongo... Au ukarudi ukiwa mzee huna jipya,, chonde usifanye mzaa wa kumshawishi ndugu yako aende huko
  5. kapongo kakolongo

    Kwanini vijana wengi wa kitanzania wanalalamika maisha magumu!

    Watu wanajiajiri sana ila serikal nayo isaport bhana .. MTU akiamzisha hata kituo cha kuosha magari boda utaona wakudai mapato hapo kweli... SIS NI WATU WA KUBUNI TU LESENI ZA MAPATO NA SIO MIRADI ITAKAYOTUPATIA KODI.
  6. kapongo kakolongo

    Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

    Rafiki yangu alienda kule Kuwait ... Alimwamin agent wake lkn baada ya yeye kupata mpunga wake walipoteana hatari... Ikafika ananitafuta wasap ... Baada ya muda hakupatikana hadi Leo hii.. Bila shaka kanyang'anywa na simu yenyewe... Sijui yupoje huko... Komaa tu hapa bongo ndugu Mungu ni Mwema...
  7. kapongo kakolongo

    Yuko wapi roho saba.

    mwenye lyics zake nipo tayari kumtumia pesa,,,,,, nazihitaji kinyama tuma kupitia ndonago@gmal.com
Back
Top Bottom