D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,258
Wakuu
husikeni na kichwa tajwa hapo juu hii hali inanishangaza
je wanashindwa kujiajiri au shida ni nini?
kwa ujumla tutoe mawazo ili baadae yatusaidie kupata solution ya hili tatizo because mimi naamini ukiamua kujiajiri hata bila mtaji wa kuanzia unaweza kwa kufanya huduma au vibarua then ukapata pesa ya kuanzia maisha so huwa nashindwa kuelewa ni kwanini vijana wengi wanalalamika sana
husikeni na kichwa tajwa hapo juu hii hali inanishangaza
je wanashindwa kujiajiri au shida ni nini?
kwa ujumla tutoe mawazo ili baadae yatusaidie kupata solution ya hili tatizo because mimi naamini ukiamua kujiajiri hata bila mtaji wa kuanzia unaweza kwa kufanya huduma au vibarua then ukapata pesa ya kuanzia maisha so huwa nashindwa kuelewa ni kwanini vijana wengi wanalalamika sana