Recent content by Kapange.rm

  1. K

    TETESI:Wale wa waloapply degree kupitia nacte

    Msaada wakuu nikitaka kulogin niangalie profile yangu inaniambia nimeingiza wrong data wakati sio kweli tatizo linaweza kuwa nini
  2. K

    NACTE Matokeo kwa SHAHADA

    Naomba msaada nikitaka ni login kwenye email yangu niliyofa
  3. K

    Second Round Application TCU

    Sorry wakuu, vipi walioomba kupitia nacte
  4. K

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Lowasa yuko juu
  5. K

    Yanga: Mmeokota wapi hawa mafowadi?

    Hujui mpira kabisa mtoa mada coz umechanganya mambo mengi nahisi umekopi mahali
  6. K

    Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

    Dah! Jamaa anakubalika hasa nimependa baada ya kuona tunduma CDM inapita bila kupingwa kaamua kugombea jumbo jipya.
  7. K

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi asifiwa kwa kuleta maendeleo jimboni

    Mi nimefika mbeya hivi karibuni nimeona barabara zimeboreshwa na njia mpya za daladala mjini zimeanzishwa, je hicho co kipimo.
  8. K

    Mdahalo wa Mengi na Manji wa leo ni saa ngapi?

    Mzee mengi ajiheshimu aache watu wafanye kazi, anawapotezea mda watu pasipo msingi wowote iweje yeye tu agombane na kila mtu.
  9. K

    AY achia Zigo aisee

    Kichupa cha wimbo Wa zigo hata mi nilijua AY atautendea haki wimbo huo
  10. K

    Transaction ID (NACTE) kwa 40000/= tu

    Oyah! Mi nahusika ila nitaamini vipi kama transaction id yako iko sahihi
  11. K

    Udahili wa vyuo vikuu nchini

    Naomba kuuliza mda Wa kuanza kwa udahili wa vyuo vikuu kwa mwaka 2015/2016 hasa kwa walio na diploma ya ualimu
  12. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Anaetaka kuja Bunda mjini idara ya sekondari nije mikoa ya Iringa, njombe na mbeya 0762742990,0688870502
  13. K

    Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

    Mm! Ukisha Fanya maombi ni bora ukampeleka kwenye maombezi.
  14. K

    Nimfanyeje Mwanamke Huyu?

    Huwenda kila mmoja ana Uhuru na fedha yake so hajui kama una uhitaji wa fedha.
Back
Top Bottom