Recent content by kanyingwee

  1. K

    Tetesi: Huyu hapa anayedaiwa kumuigiza "Wema kwenye Voice Note na Mbowe"

    Aaa huyo nae tumemchoka acha aendelee na uchangu hamna jipya hapo
  2. K

    Kesi ya ACACIA

    Hata msichana wa Kazi za nyumbani anapoacha Kazi na kurudi kwako usipomkagua kwenye begi lake LA nguo unaweza ukagundua ameondoka na chupi za mkeo au za watoto wako. Eti makonteina ya madini ya accacia yaondoke yasikaguliwe wala kuchunguzwa kwa kuwa eti wana mikataba, kama si ulofa ni nini? Hii...
  3. K

    Magufuli "Nchale!" - Usiteme, Usimeze wala Usimumunye!

    Tulidhani lisu kwa utaalamu wa sheria alionao ataonesha kuisaidia na kuishauri nchi Tanzania kumbe keshaonesha woga na kuanza kuwatetea mabwana wazungu.
  4. K

    Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

    Ni bora tubaki kuwa maskini lakini tuwe na rasilimali zetu intact, kuliko tuendekee kuwa maskini na rasilimali zetu zinachuliwa bureee kwa manufaa ya watu wachake bila kutuletea tija watanzania.
  5. K

    Gwajima kujibu tuhuma za Bashite na kuelezea ukwepaji kodi wa Sahara Media

    Wajinga ndiyo wali wetu, haya twendeni tukajae kanisani kwake na sadaka zetu nyingi mifukoni kusikiliza habari za kipuuzi za ligi kati ya bashite na askofu badala ya kuongelea mahubiri ya mungu, hapo ameshazoa mapesa kweli ukisoma hukosi Kazi fursa nyingiii mjini ni kuplani tu hela zinaingia.
  6. K

    Kimya hiki kwa upoteaji wa Ben Saanane, Serikali imeshindwa?

    Uchunguzi aunzie kwa kiongozi wake aliyekuwa anamsaidia kikazi maana ulikuwa nae karibu muda wote, hatujui wengine alimpa likizo ndefu au safari za kikazi au amemficha kutafuta kiki. Atoe maelezo ya awali
  7. K

    Kama wanawake husikia raha ya tendo la ndoa kama wanaume, kwanini huhitaji malipo?

    Swali hili Muulize huyo mwanamke uliyelalanae hapo au hujamuingilia mpaka muda huu? Itakuwa fala
  8. K

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Msiopata usingizi saa hizi mwambie mwenzi wako akupe "Valium au piriton" aka mashindo mmoja mkimaliza tu kila mmoja chali mtaanza kukoroma
  9. K

    Amwaga zege kwenye gari aliyomzawadia mpenzi wake baada ya kuachana

    Huyo bwana hana akili timamu, basi asiishie hapo amwagie zege na ile "K" ya huyo mpenzi wake ili kuiziba isitumike na mwanaume mwingine.
  10. K

    David Kafulila amtaka RC Makonda kuonesha vyeti

    Mtego wa panya huo.na hao waliomdahili na kumpitisha aendelee na masomo ya juu wakati huo nao wakamatwe washtakiwe maana bila shaka kulikuwa na mazingira ya rushwa.
  11. K

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Technicians au engineer lazima asome na awe na vyeti sahihi kabla hajaendesha ndege ,au kabla hajamfanyia MTU upasuaji, au kabla hajafyatua mizinga ya kijeshi. Hizo nifani. Umwenyekiti wa chama au ukuu wa wilaya/ mkoa au kitongoji ni uongozi wa kisiasa unahitaji tu utashi na uwezo wa MTU...
  12. K

    Rais Magufuli anangoja nini kumtumbua RC Makonda?

    Aliyetongozwa ni wemaaa au mama yake? Au wote? He waliomtongoza mwema wote mama alishiriki au alishirikishwa, basi ki mila zetu na huyo mama nae ni changu tu kama huyo siwema
  13. K

    Hivi kwanini Arusha tuko kimya mbunge wetu anasoteshwa jela bila sababu yoyote ya msingi?

    Mashabiki wa kushabikia mambo ni wengi ikikukuta wanakukimbia unabaki unasota peke yako na familia yako chunga sana, mob psychology ni mbaya usipokuwa makini itakupeleka pabaya,wahenga husema ukifundishwa ongeza na ajili yako.
  14. K

    Nasema Hivi, Bunge Lina Mapapa Wa Madawa ya Kulevya, Na Mimi Niitwe Kamati Ya Maadili Ya Bunge,

    Waheshimiwa wanaomfokea makonda na kumtisha ni mbinu ya kujifukuzia wasije nao wakatajwa maana labda nao wanashiriki kwa namna moja au nyingine katika kunufaika na biashara hii ya madawa ya kulevya. Keep it up makonda tunasubiri awamu ya 3, kawachomoe tu hata hao wanaojificha katika mgongo wa...
Back
Top Bottom