njia pekee ya kukomesha tatizo la ajali za kizembe barabarani ni kuweka sheria kali kama vile kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa lakini rushwa sasa kwenye izo idara husika ni balaa!mtu anafanya uzembe anaua watu kwa ajari za kizembe kesho utamkuta yupo na gari jingine anatamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.