Recent content by Kanyamabu

  1. K

    Mwalimu Nyerere atakuwa Baba wa Taifa la Tanzania milele?

    Nyerere atabaki kuwa ndiyeBaba wa Taifa letu kamwe haitobadilika
  2. K

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Asante kwa elimu bora uliyonayo,nimejifunza mengi sana.mungu akubariki
  3. K

    Kibaka akiwa hoi Kigamboni

    utakuwa ni mlevi tu,mtu aliyepewa kichapo hawezi kuwa ivyo.
  4. K

    Mwakyembe achukua maamuzi baada ya ajali Musoma

    njia pekee ya kukomesha tatizo la ajali za kizembe barabarani ni kuweka sheria kali kama vile kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa lakini rushwa sasa kwenye izo idara husika ni balaa!mtu anafanya uzembe anaua watu kwa ajari za kizembe kesho utamkuta yupo na gari jingine anatamba...
  5. K

    Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

    mambo ya polisi jamii hayo zamani hayakuwepo hayo
  6. K

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    hao jamaa ni noma hata mimi juzi kati nilipigwa buku2 ukiuliza wanakwambia ujinga tu
  7. K

    Kashfa mpya jeshi la polisi

    watakaofukuzwa watakua na machungu zaidi ya Boko haram ya Nigeria hatutakua na amani tuliyonayo waacheni wamalizie mud a wao
  8. K

    Kashfa mpya jeshi la polisi

    wanataka kutuletea majanga kwani watapeana siraha na nchi itayumba itaanza boko halali tz sijui wanafikilia kwa kutumia nn hao jamaa?
  9. K

    Imamu anusurika kifo kwa wizi wa ‘kitimoto’

    kiti moto si mchezo mkuu.yuko sawa
  10. K

    KAWAMBWA.Shule za serikali zinachukua wanafunzi makapi.

    ayo makapi kayaleta yeye ni ovyo kabisa ameharibu sana maisha ya madogo
Back
Top Bottom