Kashfa mpya jeshi la polisi

Kashfa mpya jeshi la polisi

Mh najaribu kumuwazia askari ambaye ana miaka 23 kazini labda. Akiacha hapo anaenda kufanya kazi gani?
 
Mh najaribu kumuwazia askari ambaye ana miaka 23 kazini labda. Akiacha hapo anaenda kufanya kazi gani?

sawa tu na vijana wengine wa kitanzania wasio na ajira na wamejiajiri ktk shughuli nyingine za kijamii
 
Hii serikali hatari sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wamekaa miaka yote hiyo leo ndo mnataka kuwachukulia hatua.na si ajabu hao vyet feki ndo watendaji wazur kuliko dvn five.wawaache waliopo ila wawe makini ktk ajira mpya vinginevyo ujambaz na vikund haram vitaanzishwa nchi hii.
 
whats th hell? Kama mtu amefundishwa akafuvu,maana yake mmemkubali,regardless alifojo cheti sasa mnafukuza kwa kigezo gani? Kwani nia kuu ya cheti ni nini? Mi najua ni kuchukua capable one to undergo training.Sasa mtakaowafukuza wataenda wapi? Katika stage za mwanzo zaku filtering mlikua wapi?
 
Wamekaa miaka yote hiyo leo ndo mnataka kuwachukulia hatua.na si ajabu hao vyet feki ndo watendaji wazur kuliko dvn five.wawaache waliopo ila wawe makini ktk ajira mpya vinginevyo ujambaz na vikund haram vitaanzishwa nchi hii.

Ni kweli Ommy tena hao ndio watakaofanya mapinduzi ya kijeshi humu nchini. Serikali inadhani wananchi hawana akili subiri wawafukuze waone moto wanadhani ni wale wajasiriamali waliozoea kuwanyanyasa huko mjini. Waache waupande mchongoma wakati wa kushuka watacheza ngoma
 
tumpongeze IGP MANGU NI MTU makini hana doa ya rushwa ila tumwombee Mungu maadui wanaomchukia kazini ni wengi na mpaka amalize mda wake kila mtanzania atasifia jeshi la polisi.

Mangu ameruhusu askari wengi kujiendeleza kimasomo pia jeshi kwa sasa inaajiri vijana wenye taaluma

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI
Sawa tunampongeza Mangu maana huo ni mwanzo mzuri, lakini vipi yeye hajafoji cheti?
 
whats th hell? Kama mtu amefundishwa akafuvu,maana yake mmemkubali,regardless alifojo cheti sasa mnafukuza kwa kigezo gani? Kwani nia kuu ya cheti ni nini? Mi najua ni kuchukua capable one to undergo training.Sasa mtakaowafukuza wataenda wapi? Katika stage za mwanzo zaku filtering mlikua wapi?

wanataka kutuletea majanga kwani watapeana siraha na nchi itayumba itaanza boko halali tz sijui wanafikilia kwa kutumia nn hao jamaa?
 
Mh najaribu kumuwazia askari ambaye ana miaka 23 kazini labda. Akiacha hapo anaenda kufanya kazi gani?

watakaofukuzwa watakua na machungu zaidi ya Boko haram ya Nigeria hatutakua na amani tuliyonayo waacheni wamalizie mud a wao
 
hao askari mbona wapo wengi sana,pale moshi wapo kama 60,baadhi wanatumia vyeti vya ndugu zao WP. ROSE,WP. SUBIRA na hata baadhi walikuwa ma-house girl wa wakubwa jeshini lakini waliingizwa jeshini kama fadhila,chagonja akiwa CCP aliokota wauza baa wengi na kuwaingiza CCP 'walimlipa ngono.

mke wa OC-CID rombo afande majebele alikuwa house girl kwa mkubwa mmoja ndani ya jeshi la polisi naye alipelekwa CCP licha ya kluwa hata darasa la saba hakumaliza,hebu waanzie hapo kufumua mtandao wa polisi wenye vyeti feki
 
Kuanzia hao walio kwenye nafasi za juu hadi wa chini wengi wao elimu yao imejaa utata mtupu. Najaribu kumfikiria mtu kama Kova utendaji wake na hata anavyowasilisha ama kujenga hoja ni shaka tupu, yawezekana kabisa hata elimu yake imejaa mashaka pia.
 
Maadamu walishapata Mafunzo ya Uaskari na kufuzu na ukizingatia uhaba wa maaskari na sungura mdogo ambaye hataruhusu kuwezesha kurecruty wapya na kukwepa kutengeneza majambazi yenye utaalamu. Nashauri badala ya kuwafukuza
wapewe fursa ya kujiendeleza pale walipokomea kihalali.

Wewe mmojawapo nini utetezi mwingi sababu sufuri
 
Ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa duuuuuuuuuuuuuh hii nchi sasa hivi ni vioja yaani mtu amekuibia mali zako halafu unamwambia kimbia usipokimbia nitakushitaki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wakuu waliofoji vyeti wengi ni watoto wa kota na wazazi wao ambao ndio maafisa wa police ndio walifanikisha kupata hivyo vyeti feki, kwa hiyo hawawezi kuwachukulia hatua kali vizazi vyao wenyewe, ndio maana unaona wanawapa muda wakimbie.
 
Back
Top Bottom