Tabia mbaya kumi zinazofanya ushindwe kuwa na akiba "savings"

Sio lazima ujumbe huu uwe sahihi kwa 100%, lakini nadhani kuna mambo kadhaa ya kujifunza humu.

TABIA MBAYA KUMI ZINAZOFANYA USHINDWE KUWA NA AKIBA "SAVINGS"....HATIMAE UNAKOSA MTAJI WA KUFANYA MAMBO YAKO.

1. Unanunua nguo bila mpangilio.
Kuna watu wana nguo kama duka. Plz Kuwa na nguo chache Tu huwezi kushindana na fashion.

2. Unanunua Viatu bila mpango.
Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua pea chache zenye ubora ili zidumu.

3. Unatoa ofa bar bila mpango.
Nenda bar kwa bajeti mahususi. Hakuna atakae kusifia kwa kutoa ofa hovyo. Kila mbuzi ale kwa urefu Wa kamba yake. Jifunze ubepari.

4. Unatumia hela nyingi kwenye simu ambazo sio productive. Unaweka vifurushi vya week vya sh 7000 au 1000 ili uchati na marafiki Fb au wasaap Huo ni ujinga. Badilika.

5. Unakopa hela banki na kununua vitu kama simu ya milioni na gari ambazo sio productive. Unakosa hela hata ya mafuta, gari la nini kwanini usingewekeza sehemu ili kuwe na mradi Wa kuzalisha ndio ununue gari?

6. Una marafiki wengi ambao ni mizigo kwako au hamuendani kivipato hivyo unajikuta unalazimika kutumia zaidi ya kipato chako ili uwa-impress. Meneja Wa TRA na mwalimu Wa sec unatarajia utoe offer mpaka umfurahishe meneja? Utabaki na sh ngapi toka kwenye salary yako?? Zinduka.

7. Huna timetable ya kudumu ya maisha yako, unajikuta unaburuzwa Tu na maradiki zako kwa kwenda sehemu mbalimbali za matumizi.Kuwa na ratiba za maisha yako na zisimamie kikamilifu, usiburuzwe!

8. Una michepuko inayokutegemea we we kwa kila kitu. Wanakuita ATM we we unakenua Tu huzinduki. Badilika.

9. Una huruma sana kuliko kipato chako. Yaani kila ukiombwa unatoa hata kama muombaji hana genuine need. Usiwe mkristo kuliko Yesu. Fanya hivyo kama ni lazima. Ila sio kila anaekupiga mzinga unapigika.

10. Unatembea na hela nyingi kwenye wallet au mshahara wote kwenye wallet au nyumbani kwako. Unapokuwa na petty cash nyingi unatengeneza mazingira ya kutumia hovyo. Jifunze kuweka hela benki. Tembea na hela Tu unayoihitaji kwa matumizi ya lazima.

Naamini tukizingatia kanuni hizi kumi tutaongeza savings zetu na kuwa na mtaji Wa kufanya vitu vikubwa endelevu.
Anza sasa...badilika.

Mkuu kwa taarifa yako usipotumia hela huwez kupata hela
kaz ya hela nikukufanya upate unachokipenda! na asilimia kubwa ya watu wanaotumia hela huwa wana akili ya ziada ya kuzitafuta la msing epuka tamaa!
 
Mkuu kwa taarifa yako usipotumia hela huwez kupata hela
kaz ya hela nikukufanya upate unachokipenda! na asilimia kubwa ya watu wanaotumia hela huwa wana akili ya ziada ya kuzitafuta la msing epuka tamaa!

mada mkuu ni kujaribu kuondoa vijisababu ambavyo vinaweza kumfanya mtu ashindwe kufanya vitu endelevu kwa Kutokuwa na savings za kutosho. kutumia hela ili upate hela zaidi ni vyema kwani unaongeza savings zako.
 
Sio lazima ujumbe huu uwe sahihi kwa 100%, lakini nadhani kuna mambo kadhaa ya kujifunza humu.

TABIA MBAYA KUMI ZINAZOFANYA USHINDWE KUWA NA AKIBA "SAVINGS"....HATIMAE UNAKOSA MTAJI WA KUFANYA MAMBO YAKO.

1. Unanunua nguo bila mpangilio.
Kuna watu wana nguo kama duka. Plz Kuwa na nguo chache Tu huwezi kushindana na fashion.

2. Unanunua Viatu bila mpango.
Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua pea chache zenye ubora ili zidumu.

3. Unatoa ofa bar bila mpango.
Nenda bar kwa bajeti mahususi. Hakuna atakae kusifia kwa kutoa ofa hovyo. Kila mbuzi ale kwa urefu Wa kamba yake. Jifunze ubepari.

4. Unatumia hela nyingi kwenye simu ambazo sio productive. Unaweka vifurushi vya week vya sh 7000 au 1000 ili uchati na marafiki Fb au wasaap Huo ni ujinga. Badilika.

5. Unakopa hela banki na kununua vitu kama simu ya milioni na gari ambazo sio productive. Unakosa hela hata ya mafuta, gari la nini kwanini usingewekeza sehemu ili kuwe na mradi Wa kuzalisha ndio ununue gari?

6. Una marafiki wengi ambao ni mizigo kwako au hamuendani kivipato hivyo unajikuta unalazimika kutumia zaidi ya kipato chako ili uwa-impress. Meneja Wa TRA na mwalimu Wa sec unatarajia utoe offer mpaka umfurahishe meneja? Utabaki na sh ngapi toka kwenye salary yako?? Zinduka.

7. Huna timetable ya kudumu ya maisha yako, unajikuta unaburuzwa Tu na maradiki zako kwa kwenda sehemu mbalimbali za matumizi.Kuwa na ratiba za maisha yako na zisimamie kikamilifu, usiburuzwe!

8. Una michepuko inayokutegemea we we kwa kila kitu. Wanakuita ATM we we unakenua Tu huzinduki. Badilika.

9. Una huruma sana kuliko kipato chako. Yaani kila ukiombwa unatoa hata kama muombaji hana genuine need. Usiwe mkristo kuliko Yesu. Fanya hivyo kama ni lazima. Ila sio kila anaekupiga mzinga unapigika.

10. Unatembea na hela nyingi kwenye wallet au mshahara wote kwenye wallet au nyumbani kwako. Unapokuwa na petty cash nyingi unatengeneza mazingira ya kutumia hovyo. Jifunze kuweka hela benki. Tembea na hela Tu unayoihitaji kwa matumizi ya lazima.

Naamini tukizingatia kanuni hizi kumi tutaongeza savings zetu na kuwa na mtaji Wa kufanya vitu vikubwa endelevu.
Anza sasa...badilika.

ni kweli kabisa.most of the people they spend more than what they earn
 
Haaaa haaaaa ebwana eeeh.Umenifuatilia mimi ndiyo ukaandika hey(Utani).Asante mleta mada.Namba 8 ni kwa wa'baba'.Na 'wamama' inakuwaje?
 
HII NDO HALI HALISI TABIA ZINAZOMFANYA MTU ASITUNZE HELA
:high5::smile:
1.Unanunua nguo bila mpangilio..
Kuna watu wana nguo kama duka. Plz Kuwa na
nguo chache Tu huwezi kushindana na fashion.

2.Unanunua Viatu bila mpango.
Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua pea
chache zenye ubora ili zidumu.

3.Unatoa ofa bar bila mpango.
Nenda bar kwa bajeti mahususi. Hakuna atakae
kusifia kwa kutoa ofa hovyo. Kila mbuzi ale
kwa urefu Wa kamba yake. Jifunze ubepari.

4.Unatumia hela nyingi kwenye simu ambazo
sio productive. Unaweka vifurushi vya week vya
sh 7000 au 10000 ili uchati na marafiki Fb au
wasaap Huo ni ujinga. Badilika.

5.Unakopa hela banki na kununua vitu kama
simu ya milioni na gari ambazo sio productive.
Unakosa hela hata ya mafuta, gari la nini
kwanini usingewekeza sehemu ili kuwe na mradi
Wa kuzalisha ndio ununue gari?

6.Una marafiki wengi ambao ni mizigo kwako
au hamuendani kivipato hivyo unajikuta
unalazimika kutumia zaidi ya kipato chako ili
uwa-impress. Meneja Wa TRA na mwalimu Wa
sec unatarajia utoe offer mpaka umfurahishe
meneja? Utabaki na sh ngapi toka kwenye
salary yako?? Zinduka.

7.Huna timetable ya kudumu ya maisha yako,
unajikuta unaburuzwa Tu na marafiki zako kwa
kwenda sehemu mbalimbali za matumizi.
Kuwa na ratiba za maisha yako na zisimamie
kikamilifu, usiburuzwe!

8.Una michepuko inayokutegemea wewe kwa
kila kitu. Wanakuita ATM we we unakenua Tu
huzinduki. Badilika.

9.Una huruma sana kuliko kipato chako. Yaani
kila ukiombwa unatoa hata kama muombaji
hana genuine need. Usiwe mkristo kuliko Yesu.
Fanya hivyo kama ni lazima. Ila sio kila
anaekupiga mzinga unapigika.

10.Unatembea na hela nyingi kwenye wallet au
mshahara wote kwenye wallet au handbag au
nyumbani kwako. Unapokuwa na petty cash
nyingi unatengeneza mazingira ya kutumia
hovyo. Jifunze kuweka hela benki. Tembea na
hela Tu unayoihitaji kwa matumizi ya lazima.
Naamini tukizingatia kanuni hizi kumi
tutaongeza savings zetu na kuwa na mtaji Wa
kufanya vitu vikubwa endelevu
 
asante sana mtoa mada hapo kwenye viatu na nguo umenishika ile mbaya mpaka naona aibu.
 
Back
Top Bottom