Kibaka akiwa hoi Kigamboni

Kibaka akiwa hoi Kigamboni

huyo jamaa kapigwa msichukilie masihara n
a
unaweza ukute amechomoka
 
We umeamua kumchafua huyo jamaa cause amelala hapo, mwizi gani apigwe halafu kalala kapendeza namna hiyo..!? stop joking men..!!
 
Kibaka mmoja toka maeneo ya Mji Mwema Kigamboni ameshughulikiwa na wananchi wenye hasira kali karibia kutolewa roho baada ya kuingia nyumba ya watu eneo la kiwanda cha viatu na kuiba simu na nguo majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo.

My take: Vijana acheni kupenda vya dezo mtakufa.
Mkuu unajifunza kutuma post na picha jf nn?
 
Back
Top Bottom