kwa hakika Kenya mko vizuri sana sana, wala hatutakuja kuwafikia hata siku moja, tunaendelea kutumbua majipuuu
the trains though.....
(freight train)
passenger train
look at what they are using in China (the platform looks simlar to the kenyan one)
just compare the stations and the...
kwanini unakuwa mvivu, ndio sababu nimekushauri usome katiba ibara ya 37 utapata majibu maana hao wote uliowataja Spika Jaji Mkuu NA Mkuu wa Majeshi kikatiba wala hawahusikinkukaimu kiti cha rais
Ninamfahamu sana, ila kwa utaratibu wa kawaida kuna mawili. aidha wewe unipe namba yake niitume kwakwe au nimfikishie taarifa kuwa kuna mtu anamtafuta jamii forums, kindly choose one option
[kwa urahisi wa rejea yako tafadhali soma Katiba Ibara ya 37 Utapata mwanga...ikiwa hao wote hawapo, Rais aweza kumwagiza kwa maandishi waziri yoyote kutekeleza majukumu ya Rais ibara ndogo ya 8
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.