Mwoe, sepa nae mkaishi nje ya mkoa mliopo sasa, ikiwezekana kilometa elfu kadhaa. Kisha usimruhusu kwenda nyumbani wazazi kwa namna yoyote ile, iwe kusalimia, homa, msiba, au chochote... hata iweje... piga ua... hadi uhakikishe ndugu zake wa kiume wote wa age 15 above wameshafariki na kuzikwa...
Did the word seduction mean anything to you?
Seduction=The silent scream of i love uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Try that, and pliz do it the feminine way and pray.
Sooner or later, utaukalia...
sioni utata hapo mkuu. kuna njia zaidi ya elfu za kudoji hayo maombi.
after all bado tupo kwenye mfumo dume... remember?
Jaribu ku-recreate problem yako tukusovie. Iweke ki-coincidence fulani hivi...
kwanza hiyo ndoa yenyewe imepangwa mbali kiasi gani?
afu kikweli jamaa inabidi apige nundu tu... akumbuke tu kutazama kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara.
wengi ni wazembe sana, mwanafunzi hata kwa kuongea naye tu unagundua ana ufahamu wa chini kabisa, ila anapofanya mtihani anatarajia miujiza... anaota I wakati hata knowlege ya IV hana. its just crazy...
hii scenario ni complex sana. kila mmoja ana sababu zake za msingi za kucondemn au kujustfy. tunabaki kunyoosheana vidole.
well... kwangu mimi nahisi tatizo hili lipo ki nature zaidi, na nadhani hadi hapo idadi ya wanaume kwenye jamii itakapozidi idadi ya wanawake, hali itabaki kuwa hivi. demand...
Duh!... hapo mwana umeenda chaka... unaposema umeme tunapata unamaana we mbongo mwenzetu una uhakika wa umeme wa kudumu? unaishi mitaa ipi?... magogoni?...
Hata Ze Big Boss mwenyewe shidhani kama anashare mtazamo wako...
Tatizo la umeme bado lipo mkuu, na mapungufu kwenye mikataba ya manunuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.