naomba kama kuna mwanaJF yoyote anayefahamu namna ya kupata past papers za somo la Kiingereza csee. Kwa anayefahamu au aliyenazo (za miaka yoyote nyuma mpaka kufikia 2011) naomba aniPM tafadhali.
Hebu jaribu kum PM Nyambale Nyangwine anaweza kuwa nazo...
Nyie vijana mnaosoma mitihani na kukalili majibu kwa vile yanajirudia mataliweza kweli soko la pamoja la afrika mashariki. Hakuna njia ya mkato ya Elimu, kamateni vitabu msome.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.