Ndugu wana jf,kuna rafiki yangu ni mwanaume ana mchumba wake na ameisha mtambulisha kwao na wazazi wa pande zote wanajua uchumba wao,jamaa na mchumba wake wote ni walokole na wamekubaliana wasi do mpaka wawe wamefunga ndoa,siku za karibuni demu ameanza kumshawishi jamaa eti wavunje amri ya 6 kabla ya ndoa.jamaa anaomba ushauri wenu wana jf.
Ni bora binti agome ku do kabla ya ndoa na c mwanaume.. Huyo jamaa atakua anatatizo kubwa.!!
Ndugu wana jf,kuna rafiki yangu ni mwanaume ana mchumba wake na ameisha mtambulisha kwao na wazazi wa pande zote wanajua uchumba wao,jamaa na mchumba wake wote ni walokole na wamekubaliana wasi do mpaka wawe wamefunga ndoa,siku za karibuni demu ameanza kumshawishi jamaa eti wavunje amri ya 6 kabla ya ndoa.jamaa anaomba ushauri wenu wana jf.
Namuunga mkono bibie bora atest zale acjekuna na mtalimbo maisha ya ndoa yakamshinda bure!reheso muhimu kabla ya pafomansi ebo!kwann huyo jamaa anagoma ana lake jambo huyo!
Atawajaribu wangapi iwapo atakuta mushkeli?
Huyo dem kishamzunguka jamaa na si ajabu amenasa. Analazimisha kudo ili ambebeshe jizigo huyo freind wako. Awe na msimamo. Asikubali na karibu atajionea mwenyewe.
Akikubali tu..................... KAUMIA ...................!!!!!!!!!!!!
huyo anahitaji muhogo, kama muhogo unafiti sawa sawa ndoa haina matatizo, lakini ndoa bila muhogo haiwezekani. Na ndio maana binti ameshtukia inshu mapema.
Anaona watu wasije fanya sherehe kuubwa! Bahada ya muda mtu anarudi na mabegi yake nyumbani kuulizwa "jamaa shughuli haiwezi" watu wote watakushangaa!
Binti mimi namuunga mkono ni lazima uyatesti maji kabla ya kuyaingia! Hata bibi yetu hawa nae alishtukia inshu kwa babu yetu adamu, yeye ndio alianza kuomba gemu mzee adamu akaingia laini.
Huyo dem kishamzunguka jamaa na si ajabu amenasa. Analazimisha kudo ili ambebeshe jizigo huyo freind wako. Awe na msimamo. Asikubali na karibu atajionea mwenyewe.
Akikubali tu..................... KAUMIA ...................!!!!!!!!!!!!