Recent content by kanabyule

  1. kanabyule

    Ukerewe: Kisiwa cha kipekee kilichopo jijini Mwanza nchini Tanzania

    Hivi siku hizi wameacha kuuana kwa sumu ya mamba? Niliwahi kuishi wilayani humo na kusoma shule za Nansio Co Education School enzi za H/T Tungarazya, na baadaye Bukongo Middle School. Hiyo ni miaka ya mid sixties. Walikuwa wanauana kikatili sana kwa sumu ya mamba, kuzamishana majini ziwani...
  2. kanabyule

    Namna ya kuchangia faini ya Tsh. Milioni 350 waliyohukumiwa kulipa Viongozi wa CHADEMA

    Dr. Mashinji exclusive. Atachangiwa huko aliko. Nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kanabyule

    Kwenu Airtel

    Mimi kwangu ninayeishi Kisukulu hata mawasiliano ya kawaida imekuwa shida hadi nipande mtini. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kanabyule

    Nani kafufua ukabila Nchini?

    Mie nachukia mtu anayetoa jibu katika mfumo wa swali! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kanabyule

    Airtel mtandao wenu unasumbua sana huku Mrimba

    Naungana na wewe juu ya tatizo hili. Siyo huko Mlimba Kilombero tu, hapa hapa Dar es Salaam yalipo makao makuu ya Airtel mtandao huu ni shida. Maeneo ya Kisukulu Kimanga na hata Tabata mtandao huu haushiki mawasiliano, na ikitokea umeshika ni lazima uongee kama kiziwi. Hivi airtel hamlijui...
  6. kanabyule

    Sasa Machinga wametushika pabaya

    Mkataa pema pabaya panamuita. Kwani ukikaa kimya itakugharimu nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kanabyule

    Mkuu wa Serikali ya wanafunzi (DARUSO) na wenzake, wasimamishwa masomo kwa muda usiojulikana

    Waliosimamishwa masomo ni "mbuzi wa kafara tu" ambayo sio utatuzi wa mgogoro wa mikopo kutoka HESLB. Huu ni ufumbuzi wa zimamoto ya muda mfupi sana. Watatulieni wanachuo wa vyuo vyote vya elimu ya juu kadhia hii ya mikopo. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kanabyule

    Mke wa Mwandishi wa Habari Azory Gwanda Kutembelewa na Kaimu balozi wa Marekani

    Ni njia ya kuonyesha jinsi wanavyojali na kuthamini utu wa MTU. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kanabyule

    Ukweli uliofichwa sasa umefunuliwa, ni kuhusu T. B Joshua

    HATA HII NAYO NI BIASHARA TU, HAKUNA UKWELI HAPA! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kanabyule

    Kuna tofauti kubwa kati ya utani na udhalilishaji

    Mzee Mzindakaya Je pale Sumbawanga?
  11. kanabyule

    Dar Lux, kampuni bora ya mabasi inayoelekea kaburini

    Nilikwisha andika siku za nyuma na sihitaji kusimulia tena, ila kweli kama hakuna juhudi za kuokoa, itabaki story kama za SCANDINAVIA.
  12. kanabyule

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    ...taratibu Bro. Tujitahidi kufichiana siri Za Taifa. Aibu yetu aibu yako!
  13. kanabyule

    Kuacha kazi Serikalini

    Laiti hata mie ningestuka mapema ningeandika barua ya kuacha kazi. Wahenga walinena kuwa ajili nyumba ya njaa, kwani nilisubiri na misimamo yangu mwishowe nikabambikwa kesi. Time ya Utumishi ilinisafisha lakini kwa vile Ikulu yetu ilikuwa inayumba jamaa walikata rufaa (yenye masilahi)...
  14. kanabyule

    Kwanini wanaosifia awamu ya 5 ni viongozi tu na sio wananchi wa kawaida?

    ".....wale wanaotegemea siasa, hasa wanaotafuta vyeo.
Back
Top Bottom