wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,570
Wengine wamehudhuria kesi ya kabendera.
Nimemuona mjomba leo kule chato akihutubia amekua mpoleeee.
Wengine wamehudhuria kesi ya kabendera.
Amerika itatufanyia kitu mbaya soon,
Moja wapo ni vikwazo na misaada
ukiona hivyo ujue hali ya kisiasa tanzania ni mbaya sana.
Hawa watu hawaendagi hivi hivi. Mara nyingi huwa wanaagizwa kwenda au kuonyesha kwamba kitendo hicho kimewakasirisha au kwenda kwa ajili ya kuchukua hatua mbalimbali.
Something behind
Hivi mitambo yao iliyo angani haiwezi kujua Azory yuko wapi?
hahahahahahahah! It's very easy to con Africans like you! Ahahahahah!
Ni njia ya kuonyesha jinsi wanavyojali na kuthamini utu wa MTU.hiyo inaweza kuwa njia moja ya kutufanya tunyooke na kupunguza utegemezi wa nje, lakini pia kuturudisha kwenye mstari kidogo.