miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Habari wakuu naomba ushauri wenu hapa. Mimi ni mwajiriwa wa serikalini toka 2015.
Sasa nataka niache kazi nijikite kwenye suala lingine.
Kinachonitatiza kuacha kazi ni kwamba nina mkopo benk ambao bado haujaisha.
Pia naombeni techniques nzuri zitakazonifanya niachishwe kazi na DED
Sasa nataka niache kazi nijikite kwenye suala lingine.
Kinachonitatiza kuacha kazi ni kwamba nina mkopo benk ambao bado haujaisha.
Pia naombeni techniques nzuri zitakazonifanya niachishwe kazi na DED