Nani kafufua ukabila Nchini?

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
227
383
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?
 
Nimeona vikundi vingi sana vya kikabira,nyuoni na hadi mtaanii.kwa nilivyo fuatilia nimeona huwa wanaumoja wao wa kusaidiana na kushauliana mambo mbalimbali hasa ya kijamii.

kwa mfano mimi sio muuni sana wa makabila na wala sina kabila kwasababu sioni umuhimu wake(anaye ona umuhimu wa kuwa na kabila anitililishie mbili tatu nami nipate pakujishikia).

na mara nyingi makundi hayo huwa yanatokea nje ya mkoa husika,ila sioni sababu ya kufanya hivyo kwakuwa watanzania ni wamoja,kumsaidia mtu wa kabila lako na kumuacha mwengine huu ni ubaguzi.
 
kwenye sekta ya sheria Ukabila upo tokea enzi na enzi. Fuatilia law firms, wamiliki na wafanyakazi ni kabila moja, hata asilimia kubwa ya wateja ni toka kabila la mmiliki wa hiyo law firm.
 
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?
Umetumwa na serikali kuchafua watu wasio wakabila wenye ukabila wamesharusha kipeperushi na wamekaa kimya baada ya kutambulika.
 
Kwani hujui aliyeleta ukabila?kila siku wenyeviti wetu wa mitaa wakisimama kwenye majukwaa wanahutubia kilugha,tena lugha ile pendwa japo hawaijui lakini utasikia eti wanamuigiza Masanja mkandamizaji.
 
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?

Tuanzie hapa; ni upi Ubora wa wasukuma kwa karne kama Hii ya 21? Au ni upi Ubora wa wachaga kwa karne kama Hii ?

Hivi what is wrong na nyie poor people !

Kwa Sababu uhalisia wa sasa wa maisha kila mtu kawa fighter , kila mtu anasomesha kila mtu Bosi.

Lakini siwezi kulaumu: asilimia 90 ya waTZ ni washamba na hawana exposure hata kama kaelimika: huwezi kuwa poa kichwani kama huna exposure.

Kukosekana kwa exposure kwa WaTZ wengi ndio huleta hizi vurugu za Ukabila.
Mtu kama Mwalimu was smart upstairs na alikuwa na exposure ya kutoka sana, hakuwa kuwa loosee that man.

Ukiuliza ni kipi ambacho Msu **** anacho lakini makabila mengine hawana ? Au wachaga au wahaya au wanyaturu etc etc ?

Hii mambo nafananisha na Upumbavu wa Wana wa wa Israel kuuaminisha baadhi ya binadamu wapumbavu eti wao ni wana wa Mungu , chaguo pekee, the only chosen people, and some stupid minds wanaimba the same song. F*** K off!

Huu ni ukosefu wa elimu na exposure, na mnajichelewesha sana kuishi maisha ya ubinadamu na undugu kama binadamu watokanao na mchanga na chakula cha mchwa wawapo wafu.
 
sisi ni taifa moja watu wa moja adui wataifa yetu , ni kumbagua Mtu kwa Dini na kabila lake, jambo ili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote ili kulinda umoja wa taifa letu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?
Hapa mkuu nadhani unaongelea mambo ya kisheria zaidi.

Je nchini Tanzania kuna sheria inayokataza ukabila na kauli za ubaguzi wa kikabila ama kidini kama hizo?

Ninadhani ni wakati sasa kama taifa tuamke na kulaani matendo hayo ambayo yanaashiria kuturejesha kwenye ujima.

Tangia enzi za baba wa taifa, nasikua tu, sisi ni wamoja, hakuna ukabila, hakuna udini.

Je kuna sheria inayolinda hayo yote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?
Maendeleo ndio yanachochea ukabila ukiona maendeleo yanaelekezwa eneo moja jua ukabila ushatangulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Gwajima na Usukuma
Askofu Shoo na Uchagga

Tarehe 3.3.2020 Viongozi wa dini wawili hapa nchini wamekata mawimbi ya anga kwa jambo linalofanana.

Askofu Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima lililopo Dar es salaam, alihojiwa na polisi kwa kusambaza vipeperushi vyenye lugha ya kisukuma akiwahamasisha wajitambue na kusaidiana, alitumia picha ya Mhe.Rais ili kuwahamasisha waungane na kuunda chombo madhubuti.

Huko Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 3.3.2020 Askofu Shoo wa KKKT alikutana na wachungaji wake wapatao 200 na kuwaambia serikali ya awamu ya tano na baadhi ya maaskofu wanawaonea wivu wachagga .

Akasema wachagga wamefanikiwa sana kusababisha waonewe wivu au kuonewa na akawataka waungane na kusaidiana na kulinda Dayosisi yao, bahati mbaya Askofu Shoo hajahojiwa na polisi kama Gwajima.

Kuwabagua wachagga au wasukuma ni kosa kubwa, lakini na wao kujibagua na kujiona bora kuliko makabila mengine ni kosa kubwa zaidi.

Watanzania tujiulize nani kafufua ukabila tena nchini mwetu?
Mie nachukia mtu anayetoa jibu katika mfumo wa swali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom