Mhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandika
Unalijua gazeti la Marca la Spain Wewe au ndio wakenya wanaliandikia [emoji3][emoji3]
https://www.marca.com/en/football/real-madrid/2019/07/22/5d36074922601d81118b456e.html
MBABE KATIKA MEDANI ZA KIVITA MEJA GENERAL QASSEM SOLEIMAN
Na Masudi Rugombana
Mbabe na mwamba katika medani za kivita katika eneo lote la Mashariki ya kati General Qassem Soleiman ameshamaliza majukumu yake na sasa amepumzika katika ufalme wa Mungu huku harakati zake zikiwa zimeshaonekana...
Hili andiko wewe umeliiba sehemu Kwanza ,hapo umesema amekufa Jana tar 2 hii inaonyesha Ni copy and paste . Wakati wewe umeliandika Leo tar 6
Hili bandiko linazunguka huko WhatsApp tokea tar 3 na muandishi kaweka contacts zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu tabia ya baadhi ya madereva kuchezea GPS na kuongeza gharama ya safari ? Mfano unaweza kutembea umbali wa 4 km lakini mwisho wa safari itaonekana 12km
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.