Recent content by kamanda5ch

  1. K

    Nitumie dawa gani kujitibu U.T.I

    Pole mkuu hiyo sio UTI ,hiyo ni Gonorrhea ,nenda hospital wakuandikie dozi ya Gonorrhea.
  2. K

    Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Mhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandika
  3. K

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    https://www.marca.com/en/football/real-madrid/2019/07/22/5d36074922601d81118b456e.html
  4. K

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Unalijua gazeti la Marca la Spain Wewe au ndio wakenya wanaliandikia [emoji3][emoji3] https://www.marca.com/en/football/real-madrid/2019/07/22/5d36074922601d81118b456e.html
  5. K

    Wamasai wawapa sumu simba mbugani

    Video Ina miaka mitatu Sasa imepita
  6. K

    Naomba msaada wa tatizo la mdomo kuwa na ladha ya uchungu

    Check UTI, punguza uzito ,fanya mazoezi utakuwa Safi na kunywa maji mengi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

    Hujamuona huyo Mkuu "PAPA" anawaangalia Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    MAJOR GENERAL QASSEM SOLEIMAN: A Fully Trained Commando na mbabe katika medani ya vita eneo zima la Mashariki ya Kati na Afrika ya Waarabu

    MBABE KATIKA MEDANI ZA KIVITA MEJA GENERAL QASSEM SOLEIMAN Na Masudi Rugombana Mbabe na mwamba katika medani za kivita katika eneo lote la Mashariki ya kati General Qassem Soleiman ameshamaliza majukumu yake na sasa amepumzika katika ufalme wa Mungu huku harakati zake zikiwa zimeshaonekana...
  9. K

    MAJOR GENERAL QASSEM SOLEIMAN: A Fully Trained Commando na mbabe katika medani ya vita eneo zima la Mashariki ya Kati na Afrika ya Waarabu

    Hili andiko wewe umeliiba sehemu Kwanza ,hapo umesema amekufa Jana tar 2 hii inaonyesha Ni copy and paste . Wakati wewe umeliandika Leo tar 6 Hili bandiko linazunguka huko WhatsApp tokea tar 3 na muandishi kaweka contacts zake. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Ielezee kwa urefu ili tuelewe ,na tukomeshe wizi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Wapi Taifa linaelekea?Huyu ni Mwanafunzi kidato cha Tatu.

    Watu wa hivi hata Marekani na ulaya wapo Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Vipi kuhusu tabia ya baadhi ya madereva kuchezea GPS na kuongeza gharama ya safari ? Mfano unaweza kutembea umbali wa 4 km lakini mwisho wa safari itaonekana 12km Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    AS Vita waingia mjini kikomando

    Subiri khanga Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Nguvu za kiume kwa waliooa ni tatizo sababu ya mazoea na mke lakini akienda kwenye game za mchangani anaweza kupiga hata 5
Back
Top Bottom