Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Msaada jaman,
Nina tatizo la mdomo kuwa na ladha ya uchungu na viungo vya mwili kuuma nini tatizo? nimezunguka hospital mbalimbali na kuchukua vipimo mbalimbali na jana tu nimepima UKIMWI lakini tatizo halionekan je naweza kuwa na shida gan mwilin mwangu?
NATESEKA SANA NI MWAKA WA NNE SASA
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina tatizo la mdomo kuwa na ladha ya uchungu na viungo vya mwili kuuma nini tatizo? nimezunguka hospital mbalimbali na kuchukua vipimo mbalimbali na jana tu nimepima UKIMWI lakini tatizo halionekan je naweza kuwa na shida gan mwilin mwangu?
NATESEKA SANA NI MWAKA WA NNE SASA
Msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums mobile app