Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Kinachoonekana ni makada wako busy kazini mvua na jua vinawanyeshea wakiwatumikia watanzania VIVA JPMA, VIVA CCM.. Macomredi wanapiga kazi balaa, kifupi wako field muda wote wakiongozwa na jemedari JPM..
 
G
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Unforgetable
Great thinker!
 
kwani huyo babu yako yupo kwenye hiyo kamati?
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Unforgetable
Hujamuona huyo Mkuu "PAPA" anawaangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Unforgetable

Na mbaya zaidi kwenye hiyo bahari kuna Papa anakula misele anataka damu ya mtu
 
Kinachoonekana ni makada wako busy kazini mvua na jua vinawanyeshea wakiwatumikia watanzania VIVA JPMA, VIVA CCM.. Macomredi wanapiga kazi balaa, kifupi wako field muda wote wakiongozwa na jemedari JPM..

WE LOFA TU HUSIYEJIELEWA, NA ATA UKATIBU WA KIJIJI HAWATAKUPATIA
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Unforgetable
KAMA KWELI IVI, ILA KWA MBAALI UNAWAONA PAPA, HAPO SIJUI MAANAKE NINI?
 
Back
Top Bottom