Ni kweli. Huwezi kujadili mapinduzi ya kidemokrasia bila kuwataja wafuatao; Zitto Kabwe, Dr. Willbrod Peter Slaa, Marehemu Chacha Wangwe na Hayati Phares Kabuye (Biharamulo magharibi). Tatizo la Zitto niliwahi kuandika na narudia kuandika, anapenda mno sifa, ni mnafiki na hana msimamo na ana...