I don't want to quote you in any thing, but I strongly believe in INDIVIDUAL DIFFERENCES and Individual PERCEPTION...Haya uliyoandika ni mawazo yako na wala usitake kutulazimisha tuamini kama wewe. To me JK is nothing but like a shadow, it doesn't move unless the object moves....Huyo ndiyo JK. Hata kama ni ushabiki, kumshabikia JK lazima uwe waziri, mkuu wa wilaya, au mtu mwingine mweye cheo kikubwa serikalini au kwenye CCM. Lakini kwa sisi walalahoi...kumshabikia JK ni dhambi, tena dhambi kubwa....Sasa hivi imefikia watu wanavumilia kuwa watz na wala hakuna anayejivunia kuwa Mtz. Kikwete anafanya nini kikubwa ambacho kinaonekana hapo Magogoni?
1. Hakuna uwajibikaji serikalini....pengine kwa sababu na yeye anaogopa atawajibishwa kwa sababu na yeye ni wale wale.
2. Gharama za maisha zinapanga huku shilingi ikizidi kuporomoka....hakuna juhudi za dhati zinazoonekana kuhakikisha hali hii inaondoka.
3. Umeme wa kusua sua kila siku, na ahadi zisizotekelezeka.
4. Huduma za afya mbovu...hakuna dawa, hakuna vitanda na hakuna vifaa vya kufanyia kazi.
5. Elimu iko taabani....hadi leo, miaka hamsini ya uhuru, kuna shule kibao watoto wanakaa chini, waalimu hawana makazi, hakuna vifaa vya kujifunzia wala vya kufundishia
6. Maliasini kama madini, gas, magogo na wanyama, tunabadilishana na neti....
7. Serikalini hakusanyi kodi kwa wafanya biashara wakubwa na wawekezaji...mapato ya serikali leo yanategemea mtu kama mimi ninunue kipande cha sabuni nikatwe VAT...
8. Kilimo kwanza kimefeli...hakuna pembejeo, hakuna maafisa ugani....hakuna mbegu bora...
9. Rushwa imeongezeka na Takukuru haijawahi kuwa na meno wala haina meno....
10. Haki mahakamani hakuna, na wala JK hakuna anayemuwajibisha...kila kitu collapsed
11. Bado watu nchi hii wanasafiri siku tatu kutoka ndani ya nchi hiii, MIUNDOMBINU HOVYO...kutoka Moshi hadi Mpanda au Kigoma, almost three days..
12......
13......
14.......
Unapata wapi ujasiri wa kumsifia JK na CCM yake? Kwa lipi jipya linaoonekana? Aliahidi meli mpya ziwa Tanganyika, ziwa Victoria na Ziwa nyasa....hadi sas karibu 1/3 imeisha hakuna hata dalili za kununua meli hata moja...
Lazime uwe na MTINDIO WA UBONGO KUMSIFIA KIKWETE...LABDA UWE MKEWE WA NDOA......