watanzania wengi bado akili zetu ni kama za mende sasa mtu katangulia mbele ya haki badala ya kumtakia heri mnaanza majungu.mjinga mmoja anasema eti bora angekufa kova ------- ww mungu akusamehe bure unaweza kuanza ww sasa hv
watanzania bna bado wengi wetu akili zetu fupi kama maisha ya funza yani mtu anaenda zake marekani kutalii na mkewe nyie mnaangaika eti kwenda kumpokea
sijaona jipya hapo zaidi ya kujipendekeza kwa wazungu mbona hapa kwetu kuna matatizo mengi tu lkn kilichompeleka marekani ni kutalii tu hana jipya.jipangeni upya
wabongo bna yametokea kenya badala kusikitika mnaanza kuingoza siasa zenu za bongo.eti majeshi yapo kwa ajili ya upinzani.mpeleke mwanao akawe mwanajeshi c unaona rahic
huyu naona ni chadema mbumbumbu asiyejua kitu.polisi wana haki ya kusimamia mikutano na kukataa kutoa vibali pale wanapoisi kuna uvunjifu wa amani.sasa wewe unaleta siasa za mtaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.