Recent content by kalitunga

  1. K

    Sifa za Binti wa kimeru

    wakorofi hasa wanapokuwa maeneo yao ya arumeru.na mara nyingi hawapendi kuolewa nje ya wilaya yao
  2. K

    TANZIA: Kamanda James Kombe afariki dunia

    watanzania wengi bado akili zetu ni kama za mende sasa mtu katangulia mbele ya haki badala ya kumtakia heri mnaanza majungu.mjinga mmoja anasema eti bora angekufa kova ------- ww mungu akusamehe bure unaweza kuanza ww sasa hv
  3. K

    Aliye tayari kuolewa na mimi anitext

    weka vyeti
  4. K

    Mapokezi Makubwa kwa Dr.Slaa

    watanzania bna bado wengi wetu akili zetu fupi kama maisha ya funza yani mtu anaenda zake marekani kutalii na mkewe nyie mnaangaika eti kwenda kumpokea
  5. K

    Tanga Sirudi Tena...

    pole jifunze kutulia mpendwa
  6. K

    Mkuu wa Wilaya ya Korogwe (GAMBO) ananyanyasa raia

    we unaongea pumba kojoa ukalale.
  7. K

    Hali bado ni tete Mbeya: Magari ya kuwasha yananyunyizwa Mwanjelwa

    kibosho mawazo yako ni finyu.mnataka mfanye fujo polisi iwaangalie tu mfanye mtakavyo.mandazi wew
  8. K

    Ujumbe wa wazi wa PONGEZI kwa rais Kikwete kwa uongozi uliotukuka

    tumia busara wakati unahandika upumbavu wako utakamatwa ufungwe bure maskini mkubwa waheshimu viongozi wako fanya kazi usitegemee hela zitakufata nyumbani.bogas wew
  9. K

    Ninayo laki sita (600,000) nahitaji smart phone mpya.

    hyo pesa bora huwasaidie wazazi wako
  10. K

    Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

    sijaona jipya hapo zaidi ya kujipendekeza kwa wazungu mbona hapa kwetu kuna matatizo mengi tu lkn kilichompeleka marekani ni kutalii tu hana jipya.jipangeni upya
  11. K

    Uvamizi wa westgate mall kenya siri zaidi yaibuka

    wabongo bna yametokea kenya badala kusikitika mnaanza kuingoza siasa zenu za bongo.eti majeshi yapo kwa ajili ya upinzani.mpeleke mwanao akawe mwanajeshi c unaona rahic
  12. K

    Kama hata IGP Mwema ni mbumbumbu wa sheria za nchi, basi nchi hii kwisha kazi yake!

    huyu naona ni chadema mbumbumbu asiyejua kitu.polisi wana haki ya kusimamia mikutano na kukataa kutoa vibali pale wanapoisi kuna uvunjifu wa amani.sasa wewe unaleta siasa za mtaani
Back
Top Bottom