brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Yaani ulikuwa hujuwi? Basi ndo umekuwa hivyo, wewe oa huko utayaona mengi.
We ushaoa uko au ndo unamtisha??
Yaani ulikuwa hujuwi? Basi ndo umekuwa hivyo, wewe oa huko utayaona mengi.
Command asili yao. Hawajatulia wazazi wao ni akina Palagyo. Mungure.Aikieli.Minja Nyiti etc but mapnz hawajui ila kugegedana wanajua
We ushaoa uko au ndo unamtisha??
Hapana sijaoa huko ila nilipokuwa naishi Arusha nilitoka na mabinti wa kimeru kama watatu na wote walikuwa hivyo (walitahiriwa) nilopo peleleza nikaambiwa ndiyo asili yao.
Aisee..aya