Nadhani bado Kipanya hakuchora kwa kuonesha hali hali. Nilidhani na ndio ukweli kuwa huo mlima unapaswa kuwa kama ukuta tena kama ule ulioitenganisha german mbili.
Nimemuona JPM kwamba ana maanisha na ameionya sekretariati kuwa wana bahati mbaya yy kuwa mkiti wao. Ameahd kuwatumbua majipu na wao. jamaa anatisha kuliko kimbunga cha tsunami..
EL anatakiwa kukumbukwa kwa 7bu hajaenda segerea. Na nadhani wote wenye nia njema tumuombe JPM asimsahau ktk harakati za kutumbua majipu. Alitakiwa awe ameshatumbuliwaaaaa.
Hivi misikule ya DJ Mbowe hawana jipya la kuleta humu ndani. Kwa nn ZZK anawasumbua kihivyo. Baada cdm kugeuka chaka la mafisadi mmebadili sera zenu. Sasa mnadhani mtaingia ikulu kwa kumchafua Zitto. Shame on you. Najua Zitto anawaumiza lkn vumilieni
Jengeni genge lenu mwacheni awatumikie...
Hapa wanataka walimu tudhalilishwe tu. Konda ataropoka na kutoa kashifa mfano hili sio darasa nimeshabeba walimu wametosha kwa leo, wengine kesho. Na mkumbuke hata polisi na JWTZ wanapanda kibabe tu wala makonda hawapendi lkn wanaogopa kinachoweza kuwatokea. Nadhani serikali kama ina nia njema...
Ukisoma wanachoandika wengi humu utagundua kuwa wengi ni ukawa. Hawa jina mnafiki, msaliti na ccm b wanayapenda sana. Rais hawezi kuanza na kila kitu. Nadhani tuwe wavumilivu na hofu yenu mnajaribu kumkatisha tamaa ili fisasdi wenu asifikiwe. Subirini hali iko wazi. Atatumbuliwa tu.
Kinachowauma ni pale majipu na kansa zao zinapotumbuliwa. haiji akilini kwamba koki za mafuta zinanunuliwa kwa bei ya kupiga halafu hazifanyi kazi. shame on them.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.