Recent content by Kalam mpya

  1. Kalam mpya

    Nawaomba radhi Watanzania kwa kushiriki kumuweka Madarakani Malinzi

    Hakuna mpira Tzzz ni ubabaishaji tu. Futeni michezo tulime kwanza
  2. Kalam mpya

    Nawaomba radhi Watanzania kwa kushiriki kumuweka Madarakani Malinzi

    Mkulima huanza kujiandaa kifikra kwanza kulima, na baadae huandaa msingi wa kuanzia shamba iwe jembe la mkono au machines. Na baadae hupanda kwa kanuni na taratibu za kilimo bora ka ma mbolea na kadharika. Huezi kuwa mkulima bora kama hulimi kwa kufuata kanuni za kilimo bora. Halii hii ipo...
  3. Kalam mpya

    Nawaomba radhi Watanzania kwa kushiriki kumuweka Madarakani Malinzi

    Unamwambiaje mtu anyamazee ww vipi pipi au chokoleti
  4. Kalam mpya

    Nawaomba radhi Watanzania kwa kushiriki kumuweka Madarakani Malinzi

    Naombeni ridhaa ya kugombea
  5. Kalam mpya

    Mhakama ziwe na vitabu vya kusaini mshitaki na mshitakiwa

    Katika hali isiyo ya kawaida kuna kumekuwepo na ujanja ujanja unaotumiwa na baadhi ya mahakama na mahakimu kumpatia kosa mtuhumiwa la kutofika mahakamani ili iwe kisingizio cha kumtia ndani Mshitaki au mshitakiwa. Hii ili hoja hii iondoke hapo ktk umbwe hilo ni vema sasa Mahakama zetu nchini...
  6. Kalam mpya

    Usingizi umeferi

    Upo wap
  7. Kalam mpya

    Usingizi umeferi

    Sawa come in boxxxxxxx
  8. Kalam mpya

    Tetesi: Baadhi ya mashirika ya Umma nchini yamekosa wawakilishi wazuri ktk vituo vyao vya chini

    Tanzania ina idadi kubwa ya mashirika ya umma yapo ya kiserikali na ya binafsi. Mashirika haya kwa kiwango kikubwa hutegemea sana utendaji mzuri na uwajibikaji bora kwa ngazi ya vituo vyake vya chini mbali ya makao makuu kuelekeza namna ya kufikia malengo na kukuza namna bora ya ufanisi ya wa...
  9. Kalam mpya

    Maisha na baada ya ndoa

    Naomba tuzungumze hapa. Wana ndoa wengi wanaishi ktk ndoa bila ya maandalizi ya maisha ya baadae baadae ya ndoa. Ukiwa katika ndoa kuna furaha na karaha. Furaha inapozidi wanandoa husahau kama hakuna kuachana. Ni kweli ndoa bora ni ile inayodumu mpaka uhai unapowatenganisha. Lakin katkati ya...
  10. Kalam mpya

    Msomi mzuri, kazi nzuri, maisha mazuri lakini shoga

    Wataalam wa viumbe akiwemo binadam anaeleza kuwa kila binadam ana homonce 2 Moja ya kike na moja ya kiume. Ikitokea mwanaume akazidiwa na homonce za kike atafanya mambo yote ya kike hata akijizuia haitawezekana. Hali kazalika kwa mwanamke. Kwa mwanamke huwaaharibu wanawake wenzake kwa...
  11. Kalam mpya

    Tetesi: Askari wetu Tanzania

    Vijijini huko ni shidaa kwa magari ya NOAH madereva
  12. Kalam mpya

    Tetesi: Askari wetu Tanzania

    Katika hali yoyote ni lazima tuwapongeze askari wetu Tanzania kwa kufanya kazi nzuri sana ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Yapo makosa madogo madogo na makubwa yanaweza kuchafua Taswira ya askari wetu ikiwa hayatarekebishwa. Takukuru huwakagua sana raia na makundi madogo au makubwa...
  13. Kalam mpya

    Hatimaye sasa ni Gabon mpaka Karume Stadium na siyo tena Gabon mpaka Kombe la dunia!

    Mzee Jecha amefuta matokeo ya mechi hio nabkurudiwa tena
  14. Kalam mpya

    Hatimaye sasa ni Gabon mpaka Karume Stadium na siyo tena Gabon mpaka Kombe la dunia!

    Wamuite Mzee JECHA Afute mechi hio irudiwe
  15. Kalam mpya

    Heshima ya ndoa ni tendo

    Mambo haya yapo kwa nyumba zetu. Waliokua dhaifu hupiga master brrishen na wengine usiku huo huo anatoka kutafuta maradh nje. Wanawake wengi hawajui kama ndoa ni tendo lenyewe ukikacha tu mwenzio anatafuta msada nje
Back
Top Bottom