Mkuu pamoja na hoja nzuri za mwanakijiji nadhani na hizi pia ni hoja za msingi ambazo mwananchi wa Tanzania anatikiwa kuzidai kwa vile zimebakwa na serikali dola ya ccm, na hili kuwa pumbaza wananchi katka mambo ya msingi huwa zinaandaliwa hoja mfu na hata kashifa na matukio ya kupangwa na...
Jamani eeeh! niwambieni kitu, huo ni upepo tuuuuuuuuuuuuuu utapita, kama hisa, hisa wengi wanazo uko kwenye makampuni yetu ila wamezidiana kidoooooogoo tu, tuache wivu wa kike. yetu macho, Mwakyembe kazi unayo baba pagumu hapo.
Kwa jinsi ilivyozoeleka siku zote anaeyekimbizwa umsifu aneyemkimbiza kwani huwa anamuongezea ujasiri na hali zaidi ya kushindana na mpinzani wake, lakini kwa chama kilicho kaa madarakani kukimbilia majukwaani na maandamano ambazo ni "sera za wapinzani"(kwani ndio sehemu pekee za upinzani...
Ndugu zangu hii ndio Tanzania ya magamba ni sanaa juu ya sanaa, wapiga kelele wengi wakiwa nje ni kwa ajili kutaka wainjizwe ndani ya ngom ili na wao wacheze si unajuwa utamu wa ngoma nakumbuka maneno ya kiongozi mmjo wa dini wakiwa Rock City alituasa juu ya ya wapambani wa ukweli wa ufisadi...
Nasikia kichefuchefu nikiona madudu kama haya ya MPG Global ni ujinga mtupu kuwa na kina chief mangungu ambao ni wasomi wasioelimika wakikuwadia rasilimali za nchi yetu. Inakera.
Jamaa lakini mjanja sana nakumbuka hata aliweza kuwasambaratisha wagombea UBUNGE wa CDM hawakurudisha form hadi akapeta ki ulaini, he is very smart guy.
Jamani tuache unazi wa Simba na Yanga,mleta hoja huenda anakiona mbali kwani hawa jamaa( "waasia wenye asili ya Tanzania") wako kikazi zaidi.
my take:Tuwe makini
Bravo mkuu, Tafakari ni ya kina na inatoa changamoto kwa kila mzalendo wa kweli.
Ni ukweli usifochika kuwa mambo ya HOVYO HOVYO katika nchi hii ni mengi, ni wakati wa kila mtu afunge ayaone na tuwe na mikakati chanya ya kukabilana nayo. Mfano mmoja wa mambo ya hovyo na tena ni hatari kwa Taifa...
Napenda kufahamu jambo moja muhimu, je ni amri kutoka kwa Mkuu wa wilaya au ni mapendekezo ambayo wananchi wameyapokea na kuyafanyia kazi kwa utaratibu waliojiamulia kwa vikao husika?
Kwa maoni yangu kutokana na tabia mbaya tuliyojijengea wa -TZ wengi(si wote) hatufanyi kitu kwa ridhaa zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.