Imedhihirika, Lowassa Mguu Mmoja CCM, Mwingine Chadema

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema
 
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema

Imekaa kiudaku zaidi!
Source?
 
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema

kwa hali ya sasa Lowassa hana nguvu ya kutoa option kwa CCM au chadema

na chadema kumchukua Lowassa ni koas kubwa sana kwa M4C
 
labda aje chadema kwa sharti la kuwa mwanachama wa kawaida bila kugombea nafasi yeyote
 
Lolote linawezekana kwa watoto wa Freemasons.
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema
 
Kiongozi kama huyu aliyebobea ccm kubadilika,kumtoa uccm ni vigumu kama ilivyo kwa mbwa mzee kumfundisha sheria.kwa maana nyingine Ngozi haiachi asili yake
 
Nimeshaandaa kiberiti na mafuta ya taa kwa ajili ya kuichoma moto kadi yangu ya CDM siku watakapomkaribisha kiranja wa mafisadi Lowassa.
 
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema

Maelezo yako hayana mafao kwa sababu unajaribu kuwagawa viongozi wa ngazi za juu wa ccm katika makundi mawili yaani waliosafi na mafisadi. Lakini ki ukweli ni kwamba hakuna aliye safi wote wako kundi moja, hapa unajaribu tu kumtetea mmoja wao dhidi ya mwingine, kwa kutoa mfano, jiulize lowasa fisadi na jk je? kuna ufisadi wa aina nyingi kama wa raslimali, utumiaji mbaya wa madaraka, kuigawa jamii kiitikadi nk nk. Ukiunganisha aina zote za ufisadi jk ni mfisadi hatari kuliko el
 
Yuko sahihi kabisa. Kwa. hsli ilivo kwa siasa za wa wakati huu kams anataka aendelee kuheshimika katika jamii ya leo dawa ni kujivua gamba na kugeukia upande wa pili. Usishangae Wasira akamtangulia.
 
Lowasa akija CDM basi huo ndio utakuwa mwanzo mpya wa wananchi kuondoa imani na chama chochote cha siasa kwani lowasa ni fisadi sugu sasa how comes na yy aje tuungane? Ktk hili viongozi wa juu wa CDM wanatakiwa kujihadhari sana kwani CDM hatuna tena haja ya ushawishi wowote kutoka nje kwani tunajitosheleza kila idara so haitakuwa vyema tena hao mafisadi kuja ku-teplace tena nafasi huku CDM.
 
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema

..... Just a thought!! by TIMING
 
Last edited by a moderator:
Ni mchafu_mchafu_mchafu_mchafu...hata akifanya kitu gani hasafishiki.
 
Hivi ile list ya aibu pale Mwembe Yanga ilisha-expire au imeshafanyiwa editing ? na kwa maslahi ya nani.
 
Source ya habari yangu ni mtu aliyekaribu sana na Lowassa.

Lowassa amejiwekea option tatu, moja kubaki CCM kama hawatamwekea vikwazo vya kugombea urais, pili amuunge mkono mtu wake ndani ya CCM na ikitokea mtu wake amekosa ataenda Chadema. Mazungumzo ya awali yalishafanyika na Chadema kwamba itakuwa rahisi sana kumsafisha. Hoja kubwa ni kwamba tatizo la ufisadi si la mtu binafsi bali la mfumo uliojengwa na ccm, kwamba unaweza ukawa na wana ccm wabovu wakaja chadema wakawa wasafi kwani mfumo utakaojengwa na chadema hauruhusu ufisadi. Na nadhani hiyo ndio hoja si kwamba wana chadema ni malaika, hata kidogo. Watakachofanya ni kujenga mfumo mpya na taasisis huru zenye nguvu kupambana na rushwa. Akiwa ndani ya chadema Lowassa hatakuwa kiongozi bali mtu wa kawaida ila anahitaji zaidi ulinzi azibughudhiwe maana anahofia wakiingia kina Sitta watamsumbua sana.

Sasa mkakati mkubwa wa Lowassa kwa sasa ni kuisaidia Chadema indirectly ili izidi kuimarika na kuwa tisho la kweli kwa CM. lengo ni nini? Inasemekana lengo ni kuwa CCM ikiwa imewekwa kitanzini hawatamudu kuruhusu mgawanyiko ndani ya chama hasa kuwaondoa wale wanaoonekana kama mafisadi. Itabidi waruhusu tu yule atakayeshinda kura za maoni ipite bila mizengwe ili chama kibaki kimoja. Lakini swali ni je, kama Lowassa akipata tiketi ya CCM atawarudisha vipi wale ambao tayari wameshahamia chadema na kuijenga vilivyo? Wengine watasema kirahisi kuwa ni uzushi ila kama upo karibu na viongozi wakuu wa chadema au marafiki wa Lowassa watakuambia kwa sasa Lowassa yupo karibu sana na Chadema na kuna agenda nzito ndani yake. Siku njema

Lowasa kwenda CDM ni sawa na Abromavich kuinunua timu ya mpira ya Yanga!(Mrembo)
 
Siku ikitokea el kaingia cdm nitaamini mbowe ananunulika,na kama mleta uzi amekuja kupima upepo imekula kwake.
 
Back
Top Bottom