Nape ngoja nikusaidie,,,,

CHEMPO

JF-Expert Member
Nov 24, 2011
368
59
Najua nafasi uliyonayo ni nafasi za watoto wa vigogo ila hilo tuachane nalo.
Ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure. Nini serikali yako ya CCM ifanye ilikukiimarisha chama:-

(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja.

(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja, hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote
 
Counter attacks za CCM kwa CHADEMA zilipaswa zije na maudhui ya utofauti kati ya chama Tawala na Chama Kilicho nje ya Utawala. Badala ya kwenda kwa mkakati wa kushambulia majukwaani, CCM ingeshambulia kero na matatizo yanayoipa CHADEMA nguvu majukwaani na mitaani.

CCM ingelipiza kwa kutafuta suluhisho na kuondoa matatizo yanayozidi kuwa sugu na ambayo kwa vyovyote yataleta madhara makubwa kwa jamii na Taifa siku si nyingi.

Kwa mfano;


  1. CCM ingejidhatiti katika kubuni na kutekeleza mikakati inaokabiliana au kutoa suluhisho la changamoto ya ajira hasa kwa vijana (Nape Jr tuwasiliane kwenye hili).
  2. CCM ingehakikisha gharama za maisha hazipandi kupitia utekelezaji wa sera na maagizo ambayo imekuwa ikitoa

Hivi vitu vikifanyika wala huitaji kwenda majukwaani ili uwafundishe watu uongo wa CHADEMA. Watanzania wa sasa wana macho yanayoona, masikio yanayosikia, akili zinazochambua mambo na utashi katika maamuzi. Suala la CCM nao kwenda na maneno matupu ilihali tayari wana dola, ni kumwongezea CHADEMA "Benefit of Doubt" kwamba labda huyu anaweza kufanya kweli akipewa dola.

Wanachokisema CHADEMA si kigeni; CCM pia inakijua, Lowassa anakijua na Mh. Rais naye anakijua tena kwa ufasaha kupiti Ripoti Maalumu ya Uchumi aliyopewa mwaka 2007.

Bora serikali ya ccm ikaonekana inasaidiwa/inaamshwa na wapinzani kufikiri/kutenda kuliko kukataa mapendekezo yao, huku isifanye lolote kubadili hali mbaya kwenye jamii. Yale yanayotekelezeka na kuleta ustawi kwa Watanzania yapokelewe. Mfano, Mkapa alikubali kuondoa kodi ya kichwa (hii ilikuwa sera ya CUF) lakini ilileta unafuu na kuwanufaisha Watanzania wote.

Iwapo ccm watakuwa wakifanyia kazi kwa vitendo, haraka na ufasaha mambo ya msingi yanayoipaisha CHADEMA, nguvu ya CHADEMA na mvuto kwa wananchi unaweza kukabilika. Maana kwa mbinu hii CHADEMA watabaki kuonekana kama Wanadharia na CCM kama Watendaji.

Tunajenga nchi moja.
 
Well said CHEMPO. Good advice to Nape kuliko kazi anayofanya sasa ya kujaribu 'kuupaka upepo rangi' au kujaza upepo kwenye gunia la katani
 
Nape na wenzake wanajua yote hayo ILA Upeo wao wa kuyashughulikia na serikali yao ndo umefikia hapo.

Kama unategemea mengine utasubiri saana tu.

JAMANI yale yanayohitaji rasilimali fedha, serikali haina.

Mfumo wa bei kwa mfano kuutatua to some extent unahitaji subsidy kwa Importers wa mafuta, fedha ambayo haipo.
 
Najua nafasi uliyonayo ni nafasi za watoto wa vigogo ila hilo tuachanenalo...ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure..nini serekali yako ya ccm ifanye ilikukiimarisha chama:-(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja,hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...............mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote
Wachumia tumbo hao na ccm yao ya kubumba
 
Counter attacks za CCM kwa CHADEMA zilipaswa zije na maudhui ya utofauti kati ya chama Tawala na Chama Kilicho nje ya Utawala. Badala ya kwenda kwa mkakati wa kushambulia majukwaani, CCM ingeshambulia kero na matatizo yanayoipa CHADEMA nguvu majukwaani na mitaani.

CCM ingelipiza kwa kutafuta suluhisho na kuondoa matatizo yanayozidi kuwa sugu na ambayo kwa vyovyote yataleta madhara makubwa kwa jamii na Taifa siku si nyingi.

Kwa mfano;


  1. CCM ingejidhatiti katika kubuni na kutekeleza mikakati inaokabiliana au kutoa suluhisho la changamoto ya ajira hasa kwa vijana (Nape Jr tuwasiliane kwenye hili).
  2. CCM ingehakikisha gharama za maisha hazipandi kupitia utekelezaji wa sera na maagizo ambayo imekuwa ikitoa

Hivi vitu vikifanyika wala huitaji kwenda majukwaani ili uwafundishe watu uongo wa CHADEMA. Watanzania wa sasa wana macho yanayoona, masikio yanayosikia, akili zinazochambua mambo na utashi katika maamuzi. Suala la CCM nao kwenda na maneno matupu ilihali tayari wana dola, ni kumwongezea CHADEMA "Benefit of Doubt" kwamba labda huyu anaweza kufanya kweli akipewa dola.

Wanachokisema CHADEMA si kigeni; CCM pia inakijua, Lowassa anakijua na Mh. Rais naye anakijua tena kwa ufasaha kupiti Ripoti Maalumu ya Uchumi aliyopewa mwaka 2007.

Bora serikali ya ccm ikaonekana inasaidiwa/inaamshwa na wapinzani kufikiri/kutenda kuliko kukataa mapendekezo yao, huku isifanye lolote kubadili hali mbaya kwenye jamii. Yale yanayotekelezeka na kuleta ustawi kwa Watanzania yapokelewe. Mfano, Mkapa alikubali kuondoa kodi ya kichwa (hii ilikuwa sera ya CUF) lakini ilileta unafuu na kuwanufaisha Watanzania wote.

Iwapo ccm watakuwa wakifanyia kazi kwa vitendo, haraka na ufasaha mambo ya msingi yanayoipaisha CHADEMA, nguvu ya CHADEMA na mvuto kwa wananchi unaweza kukabilika. Maana kwa mbinu hii CHADEMA watabaki kuonekana kama WanadharE Kia na CCM kama Watendaji.

Tunajenga nchi moja.[/ASANT
NTE KWA
ASA ASANTE KWA KUONGEZA NYAMA..MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Wakubwa! Unapoambiwa "sikio la kufa halisikii dawa" ina maanisha haswa halisikii dawa,......hata CCM wangefanya mema makubwa kiasi gani kwa mtu kama mimi Ruhazwe JR hawanishawishi:,

 
Last edited by a moderator:
anaenda kijijini kuwadanganya wazee na vibibi ambayo hawajui kitu akiwaambia inflation imeshuka sana wanapiga makofi hawajui hata ni nini wanafikiri labda ni mafuta ya taa.

wao wanaangalia zile kanga na kofia na tisheti wanazopewa na Nape mengine hawana time nayo ,..hawa ndio watu anaowapenda Nape, si mmeona hapa tumembana anaanza kusema oo njooni na Majina yenu halisi mara aoo mwanaume unajificha nyuma ya ID sasa hizi nazo hoja?

ccm wanapenda sana kulipa visasi anataka uje na ID yako ili akujue akulishe sumu kama walivyomlisha mwakyembe .
ccm walivyo na roho mbaya wanaweeza kunywa uji wa mgonjwa mahututi
 
Counter attacks za CCM kwa CHADEMA zilipaswa zije na maudhui ya utofauti kati ya chama Tawala na Chama Kilicho nje ya Utawala. Badala ya kwenda kwa mkakati wa kushambulia majukwaani, CCM ingeshambulia kero na matatizo yanayoipa CHADEMA nguvu majukwaani na mitaani.

CCM ingelipiza kwa kutafuta suluhisho na kuondoa matatizo yanayozidi kuwa sugu na ambayo kwa vyovyote yataleta madhara makubwa kwa jamii na Taifa siku si nyingi.

Kwa mfano;


  1. CCM ingejidhatiti katika kubuni na kutekeleza mikakati inaokabiliana au kutoa suluhisho la changamoto ya ajira hasa kwa vijana (Nape Jr tuwasiliane kwenye hili).
  2. CCM ingehakikisha gharama za maisha hazipandi kupitia utekelezaji wa sera na maagizo ambayo imekuwa ikitoa

Hivi vitu vikifanyika wala huitaji kwenda majukwaani ili uwafundishe watu uongo wa CHADEMA. Watanzania wa sasa wana macho yanayoona, masikio yanayosikia, akili zinazochambua mambo na utashi katika maamuzi. Suala la CCM nao kwenda na maneno matupu ilihali tayari wana dola, ni kumwongezea CHADEMA "Benefit of Doubt" kwamba labda huyu anaweza kufanya kweli akipewa dola.

Wanachokisema CHADEMA si kigeni; CCM pia inakijua, Lowassa anakijua na Mh. Rais naye anakijua tena kwa ufasaha kupiti Ripoti Maalumu ya Uchumi aliyopewa mwaka 2007.

Bora serikali ya ccm ikaonekana inasaidiwa/inaamshwa na wapinzani kufikiri/kutenda kuliko kukataa mapendekezo yao, huku isifanye lolote kubadili hali mbaya kwenye jamii. Yale yanayotekelezeka na kuleta ustawi kwa Watanzania yapokelewe. Mfano, Mkapa alikubali kuondoa kodi ya kichwa (hii ilikuwa sera ya CUF) lakini ilileta unafuu na kuwanufaisha Watanzania wote.

Iwapo ccm watakuwa wakifanyia kazi kwa vitendo, haraka na ufasaha mambo ya msingi yanayoipaisha CHADEMA, nguvu ya CHADEMA na mvuto kwa wananchi unaweza kukabilika. Maana kwa mbinu hii CHADEMA watabaki kuonekana kama WanadharE Kia na CCM kama Watendaji.

Tunajenga nchi moja.

ASANTE KWA KUONGEZA NYAMA..MWENYE MASIKIO NA ASIKIE

CHEMPO,
Nimekurekebishia maana ulipangua html codes na kuvuluga maandishi ya jibu lako.
Asante pia kwa kuanzisha mada
 
Najua nafasi uliyonayo ni nafasi za watoto wa vigogo ila hilo tuachane nalo.
Ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure. Nini serikali yako ya CCM ifanye ilikukiimarisha chama:-

(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja.

(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja, hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote

Nape ni mnafiki sana na kama yeye nimkweli atwambie huyu Rz1 haya majengo anayoporomosha kwenye baadhi ya Mikoa
pesa kapata wapi kwamda mfupi wa kipindi cha utawala huu? kisha atwambie pesa tunazodanganywa kuwa walirudisha ziko wapi mbona mpaka leo mchanganuo wake hatujui wala zimefaya nini hatujui.je itakuwa vibaya kama tukisema kuwa ndozinaporomosha hayo majengo tutakosea? nape jibu hoja
 
Najua nafasi uliyonayo ni nafasi za watoto wa vigogo ila hilo tuachane nalo.
Ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure. Nini serikali yako ya CCM ifanye ilikukiimarisha chama:-

(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja.

(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja, hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote


Kwa jinsi ilivyozoeleka siku zote anaeyekimbizwa umsifu aneyemkimbiza kwani huwa anamuongezea ujasiri na hali zaidi ya kushindana na mpinzani wake, lakini kwa chama kilicho kaa madarakani kukimbilia majukwaani na maandamano ambazo ni "sera za wapinzani"(kwani ndio sehemu pekee za upinzani kujieleza) ili kuwakimbiza uko na wao kuwa walalamikaji zaidi ya watendaji ukizingatia kuwa wameshika DOLA sidhani kama itasaidia chochote wakati huu. waswaili usema maji yakisha mwagika hayazoleki.
 
Nape na wenzake wanajua yote hayo ILA Upeo wao wa kuyashughulikia na serikali yao ndo umefikia hapo.

Kama unategemea mengine utasubiri saana tu.

JAMANI yale yanayohitaji rasilimali fedha, serikali haina.

Mfumo wa bei kwa mfano kuutatua to some extent unahitaji subsidy kwa Importers wa mafuta, fedha ambayo haipo.

Siyo kweli kwambe upeo wa Nape na magamba umefikia mwisho ila wako kimaslahi zaidi. Nape na wenzake ni wako katika kundi la wanafiki, wasio wazalendo na na wabinafsi kupita kiasi. Ni watu wanaofurahia na kuushangilia umasikini wa watanganyika walio wengi. Kupata kwao kwatosha wengine watajijua wenyewe. Hawajali kabisa hali za maisha duni za baba zao, mama zao, kaka zao, binamu zao na hata rafiki zao. Wajali kwa lipi ilihali wao wamepata!
 
Huyu Nape mngemwacha tu wala si wa kujadili. Nadhan anajua ukweli lakini atafanyaje tena wakati yeye ndio anawatumikia waliompa kazi. Kama ni wewe je ungefanyaje?? Mwacheni tu anaujua ukweli ila yupo kazini mwenzetu.
 
Khaaaaa eti inflation imeshuka wanajua mafuta taa umeniacha hoi
 
ni heri uende mochwari ukaelimishe maiti kuliko kupoteza mda wako kumuelimisha mtu kama Nape
 
Back
Top Bottom