CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Najua nafasi uliyonayo ni nafasi za watoto wa vigogo ila hilo tuachane nalo.
Ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure. Nini serikali yako ya CCM ifanye ilikukiimarisha chama:-
(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja.
(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja, hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote
Ndugu yangu nape kazi unayofanya kukiimarisha chama chako kwa mikutano na maandamano ni kazi bure. Nini serikali yako ya CCM ifanye ilikukiimarisha chama:-
(1)kupambana na mfumuko wa bei ya vyakula na huduma za msingi zinazomgusa mwananchi moja kwa moja.
(2)kuongeza pato la mtu mmoja mmoja, hii hasa kwa wafanyakazi,wapeni mishahara itakayowawezesha kuishi,tofauti na hapo hawa ndo watakaowamaliza 2015...mkilifanikisha hili nakuapia hamtapata upinzani wowote