Recent content by kajiru

  1. kajiru

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Shukrani mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kajiru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishampiga Mwanamke? Imeniuma sana...

    Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta. Wewe ni mtu uliyelelewa vizuri na una hekima. Huyo binti naona anatamani uwe mwandani wake ndo maana amekufanyia visa. Yeye ndiye wa kukuomba msamaha. Usiangaike nae tena moyoni mwako, kaa mbali nae. Be serious no kuchekacheka. Kama u mkristo nenda katoe sadaka...
  3. kajiru

    JamiiForums Tanzania RAHA JIPE MWENYEWE

    Mmmh! Diet tea? Bia kabisa ile! Uchambuzi kidogo tu unasema: bia inampa alcohol; sigara-nicotine; nyama choma-cholesterol+carbon monoxide....n.k! Hakuna cha raha hapo!
  4. kajiru

    JamiiForums Tanzania Man worked as doctor for 11 YEARS after stealing real doctor's name and personality

    Atakuwa amesababisha madhara makubwa wa wananchi wa Australia.
  5. kajiru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kupata matatizo, mchumba wangu akaolewa na mfanyakazi mwenzangu

    Mmmh! Ujumbe wako Wakuacha umenipa simanzi. Pole sana mdogo wangu ndo maisha yalivyo, na wanawake ni viumbe dhaifu. Usivunjike moyo naamini yaliuokupata yana sababu zake na sio ajali. Mtumaini Mungu aliye juu ya wote wenye mwili na wasiokuwa na mwili. Tafuta na omba kwa imani nawe utafanikiwa...
  6. kajiru

    JamiiForums Tanzania Namna Magufuli alivyopimana ubavu na akina Kagame Ikulu

    Naona watz tumeanza kufumbuka macho kuhusu faida za kodi. Ifahamike kuwa hawa wenzetu wa EU wapo kimaslahi zaidi. Wanataka bidhaa zao zije kwetu kwa kodi ndogo ya ushuru ambao kimsingi huwa unalipwa na mwagizaji na hivyo kuuzwa kwa bei ndogo sokoni. Sasa bei ikiwa ndogo, basi zitanunulika sana...
  7. kajiru

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa kukuta Benki ni kweupe

    Pole sana ndg Kilimba kwa kuvunjwa moyo. Mimi naomba nikutie moyo ktk shughuli ya kilimo cha mbogamboga unachotarajia kukianza ili kupunguza ukali wa maisha. Katika kutafuta pesa kamwe usiruhusu walioshindwa na waoga kukurudisha nyuma ktk mipango yako. Fahamu kuwa biashara inayohusu chakula cha...
  8. kajiru

    JamiiForums Tanzania Mama anayedaiwa kuchoma maduka matatu, nyumba yake ya kuishi, ajinyonga Arusha

    We mkwepa kodi, naona hujaelewa mada ya habari. Hao wenzake waliokimbia umewasoma wapi?
  9. kajiru

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Asanteni sana kwa elimu safi kuhusu magari yetu. Ifahamike pia kwamba gari ambayo upepo wake wa matairi hauko sawa ( yaani "unbalanced tyre pressure"), mfumo chakavu wa bushi (hasa za chini) na matairi ambayo hayako katika mstari mnyoofu (nonaligned tyres), huwa inachakaa haraka kuliko...
  10. kajiru

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Asante sana kwa ujumbe mzuri. Ninaahidi kuufanyia kazi kwa kuwa makini barabarani.
  11. kajiru

    JamiiForums Tanzania Plasidus Luoga afukuzwa kazi TRA kutokana na sakata la Escrow

    Kweli usilolijua ni usiku wa kiza.......kiza kinene. kwa taarifa yenu Mr Luoga alishastaafu TRA siku nyingi. Hizo pesa amezipata akiwa nje ya TRA. Haiwezekani kumfukuza kazi mtu ambaye hayupo kazini. Siku nyingine muwe makini mtoapo habari.
Back
Top Bottom