RAHA JIPE MWENYEWE

RAHA JIPE MWENYEWE

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534
d495e026b3f14a4153f81a5f86df15ae.jpg


Haina haja kusumbua au kusumbuliwa na watu.
 
Duh, akiendelea hivi kwa mwaka mmoja tu, tayari ni mteja wa Hospitali kwa BP na kisukari.
 
Nimependa hakutaka usumbufu wa kwenda kutafuta wanawake wa kumfanya buzi. Hakuta kuchukua gari wala teksi. Kajituliza nyumbani kwake tu kama kasuku.
 
Sukari itoke wapi mtu anakula nyama kama mmsai. Na hujui anakunywa kinywaji gani. Pengine diet ice tea.
Mmmh!
Diet tea? Bia kabisa ile!
Uchambuzi kidogo tu unasema: bia inampa alcohol; sigara-nicotine; nyama choma-cholesterol+carbon monoxide....n.k! Hakuna cha raha hapo!
 
Mmmh!
Diet tea? Bia kabisa ile!
Uchambuzi kidogo tu unasema: bia inampa alcohol; sigara-nicotine; nyama choma-cholesterol+carbon monoxide....n.k! Hakuna cha raha hapo!

e4a6cdffbf868d30e828f4cc078b1335.jpg
 
Hilo jiko ni rahisi kutengeneza na linafaa sana Bongo hasa ikiwa ni mwendo wa kupanga chumba. Hapo baba mwenye nyumba atasikia harufu ya nyama tu.
 
0d323617e3bd1ebaafe625950d702a03.jpg


Usikute mnaomlani huyo jamaa mnakunywa hii kila siku.
 
Back
Top Bottom