Ulishampiga Mwanamke? Imeniuma sana...

Ulishampiga Mwanamke? Imeniuma sana...

Aisee mkuu kwanza nakupongeza kwa ujasili wako wa kuomba msamaha. Lakini umenikera pia kuomba huo msamaha. For two weeks na cable yangu dah. Aisee ningempasua.
Mi niliona kuna maisha pia baada ya kumpasua mkuu...
 
Wala usimtongoze,mazoea gani hayo ya kifichiana kitu hadi wiki inaisha huo sio utani.
Kwanini ujishushe thamani kwa kutembea na huyo binti,ushamuomba msamaha its over.Labda kama ulikua una taka.
Hapana...
 
Anakutaka huyo, na usishangae siku ya kukusamehe akakupa na papuchi..
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
naomba mungu amjalie aendeleee kufanya kazi na watu kama wewee make akija hku kwetu atapigika sana.... sio kwa ujinga huo mkuu.....
 
We mpotezee,Yaani achana nae. Wala Hata usijisumbue kutumia Sms wala kutafuta. Achana nae,as a man u play your part mpaka kuomba msamaha!!!ana bahati,wengine wangempasua tena zaidi ya kimoja na asingeona hata Sms ya kuombwa samahani. Achana nae,lakini Ndio ujifunze ukimzoesha mbwa akufate,atakufata mpaka msikitini (no matter sio muislam lakini wahenga walisema hivo)
 
Msela kiaina dogo zege!
Demu kwa wazi kabisa anataka muhogo wa Jang'ombe lkn msela ana remba!
Mkuu au mfukoni hamna kitu kwa sasa tukukopeshe?
 
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta. Wewe ni mtu uliyelelewa vizuri na una hekima. Huyo binti naona anatamani uwe mwandani wake ndo maana amekufanyia visa. Yeye ndiye wa kukuomba msamaha. Usiangaike nae tena moyoni mwako, kaa mbali nae. Be serious no kuchekacheka.
Kama u mkristo nenda katoe sadaka kanisani kwa ajili yake. Ili kuweka wigo kati yako na yeye. Usihofu kuhusu ushirikina kwani hautafanikiwa kwako.

Mungu amekufanikisha basi tunza familia yako achana na wanawake wengine kabisa. Mpende mkeo kama unacyohipenda wewe Mwenyewe.
 
Huu Uzi Ni mpya, Na mrefu..Why usitafute alivyojibu Kifupi Ndo umquote...Jaribu kutumia hekima.Vimaneno vyenyewe umejibu Kifupi kututeremshia liuziiii lote
Mwenzio anatumia kompyuta wewe watumia tekno screen inch 7 sijui unategemea amekosea alichofanya?
 
Ulifanya kosa kumuomba msamaha,ndiyo zao kusema,'wewe unanyoosha mkono wako kunipiga unajua hata Baba Wazaz wangu hawajawahi kunipiga',mi nnamjibu kwangu utapigwa tu,mi siangalii akiingia kwenye 18 zangu ni kichapo tu anaambulia,inakuwa hakuna namna,any way dawa ya huyo Dada ni kumpiga show na mpaka sasa kaishalegea kabisa ni kumpa mwaliko wa Chakula cha jion,uone kama atakataa,lazima akubal tu
 
Back
Top Bottom